Mwigulu: Namshukuru Rais kwa kunifanya Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti ya nchi. Nimetimiza Ndoto ya muda mrefu

Mwigulu: Namshukuru Rais kwa kunifanya Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti ya nchi. Nimetimiza Ndoto ya muda mrefu

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwigulu ajivunia kutimiza ndoto ya muda mrefu kusaini noti ya Tanzania

"Kipekee nimshukuru Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuniamini kutumikia Taifa kwa nafasi ya Waziri wa Fedha tangu alipoingia madarakani. Huu ni uthibitisho wa imani kubwa aliyokuwa nayo, na nimeona faraja kufanya kazi chini ya kiongozi mwenye maono makubwa ya kuiletea nchi maendeleo."

"Mheshimiwa Rais, sio tu amenipa fahari kufanya kazi chini yake, bali ameiandika historia ya kipekee kwa Wanyarimba, Wasukuma na Wanyaturu wa Singida kwa kuwa mimi ni Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti."


Soma, Pia: Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari
 
Mwigulu ajivunia kutimiza ndoto ya muda mrefu kusaini noti ya Tanzania

"Kipekee nimshukuru Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuniamini kutumikia Taifa kwa nafasi ya Waziri wa Fedha tangu alipoingia madarakani. Huu ni uthibitisho wa imani kubwa aliyokuwa nayo, na nimeona faraja kufanya kazi chini ya kiongozi mwenye maono makubwa ya kuiletea nchi maendeleo."

"Mheshimiwa Rais, sio tu amenipa fahari kufanya kazi chini yake, bali ameiandika historia ya kipekee kwa Wanyarimba, Wasukuma na Wanyaturu wa Singida kwa kuwa mimi ni Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti."


Soma, Pia: Hii ndio sahihi ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwenye noti mpya zilizoanza kutumika Februari
Hamjui fedha,kusaini ni kitu kingine,na kuwa na fedha wanyaturu ni kitu kingine
 
"Mheshimiwa Rais, sio tu amenipa fahari kufanya kazi chini yake, bali ameiandika historia ya kipekee kwa Wanyarimba, Wasukuma na Wanyaturu wa Singida kwa kuwa mimi ni Mnyiramba wa kwanza kusaini kwenye noti."

Mtu mwenye ndoto ya namna hii si huenda kafanya mambo meusi mengi ili asalie tu kwenye nafasi itayomfanya aweke sign kwenye noti...
 
Kusaini noti inayoshuka thamani kwa kasi bila kufuata mkakati si kitu cha kujivunia.

No kitu cha kuonea aibu.
Nmemkumbuka mzee wangu idrisa rashid,ngoja nianze kumsaka 😄

Ova
 
Back
Top Bottom