Mwigulu, Makamba na Mbarawa hawahusiki na ufisadi

Rege

Senior Member
Jul 9, 2022
112
140
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
makame-mbarawa-3cb8134c-0c2b-40e6-a682-42bd3b916f5-resize-750.jpeg


Mwigulu
mwigu.jpg


January Makamba
Dc0TT6mWsAIqpOV.jpg
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761





January Makamba
View attachment 2806759
Kwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?
Jibu,ni hapana ila aliwajibika kwasababu yeye ndiye mwenye dhamana.
Jifunzeni uongozi bora siyo kuropokaropoka kwasababu mnapewa vichenjichenji!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761





January Makamba
View attachment 2806759
Kwani nani kasema hao wanahusika na ofisadi?
Sisi tumesema hao ni wezi wakuu wa taifa.
 
Lete ushahidi wako tutakusikiliza, sie tunao wa CAG unajieleza.Hao jamaa wee achatu.
 
Kwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?
Jibu,ni hapana ila aliwajibika kwasababu yeye ndiye mwenye dhamana.
Jifunzeni uongozi bora siyo kuropokaropoka kwasababu mnapewa vichenjichenji!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Mwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761





January Makamba
View attachment 2806759
Hawahusiki vipi wakati bungeni wakijibu maswali wanataja ni wizara zao?Na fedha za budget huomba wao?walipasa wao wawataje wezi wanaowaibia sio wangoje sieji
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761





January Makamba
View attachment 2806759
Wewe ni nani?,wakili wao,au CAG wa kujitegemea?
 
Kwani Mzee Mwinyi alipojuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani wakati wa Utawala wa awamu ya kwanza kwa makosa ya Watendaji wake wa chini inamaana kwamba alishiriki kufanya vitendo viovu kwa Wananchi?
Jibu,ni hapana ila aliwajibika kwasababu yeye ndiye mwenye dhamana.
Jifunzeni uongozi bora siyo kuropokaropoka kwasababu mnapewa vichenjichenji!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Asipokuelewa ujue ni mtoto wa kikopo huyo
 
Mwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.
Wewe utakuwa ni kimada wa Mwigulu
 
Mwigulu akijiuzulu we utapata nini, acha roho mbaya namna hiyo, kapambane nawe upate fursa zinazofanana na hizo za Mwigulu. Maskini wana roho mbaya sana, furaha yenu ni kuona wenzenu wanaanguka.
Wakiiba ndiyo wanatajirika tuwaache waeendelee kuiba ili wasiwe na roho mbaya sawa.
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761





January Makamba
View attachment 2806759
Da Esther unajitahidi kweli kumpambania mumeo.
 
Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.

Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo

Prof. Mbarawa
View attachment 2806760

Mwigulu
View attachment 2806761

January Makamba
View attachment 2806759
Umeandika maneno mengi yasiyo na maana na haujaweka evidence.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom