Mawaziri Mwigulu Nchemba, January Makamba na Makame Mbarawa wanasingiziwa kuhusika na ufisadi kupitia ripoti ya CAG lakini ukweli ni kwamba viongozi hawa wanasingiziwa na hakuna uthibitisho wowote wa wao kuhusika na ufisadi.
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
Mwigulu
January Makamba
Hivyo tuwaache wafanye kazi walioaminiwa na Rais tusilazimishe kuwatungia kashfa za uongo
Prof. Mbarawa
Mwigulu
January Makamba