Mh. Mwigulu akilulizwa swali na Mbunge wa Tabora mjini siku ya tarehe 4/6/2015 kuhusiana na walimu wapya ambao hawajapata mishahara yao.
Mh. alijibu kuwa amewaagiza hazina na wao wameshatuma billioni kumi kwa ajili ya mishahara, lakini cha ajabu mpaka sasa walimu walioanza kuripoti tarehe 1/5/2015, hawajapata mishahara yao, hawajalipwa stahili zao ikiwamo nauli na fedha za kujikimu, ukingatia wako maeneo ya ugenini kwa hapa Serikali inategemea wataishije ?
Je ile ahadi yako Mh. Mwigulu imeishia wapi ukizingatia tulijiaminisha kuwa wewe ni mtetezi wa wanyonge?
Mh. alijibu kuwa amewaagiza hazina na wao wameshatuma billioni kumi kwa ajili ya mishahara, lakini cha ajabu mpaka sasa walimu walioanza kuripoti tarehe 1/5/2015, hawajapata mishahara yao, hawajalipwa stahili zao ikiwamo nauli na fedha za kujikimu, ukingatia wako maeneo ya ugenini kwa hapa Serikali inategemea wataishije ?
Je ile ahadi yako Mh. Mwigulu imeishia wapi ukizingatia tulijiaminisha kuwa wewe ni mtetezi wa wanyonge?