Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Mwigulu amvisha mbwa bendera ya CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Hivi kuna aja kushangaa Mwigulu Chemba(ya maji machafu) kufanya haya? Mbona huyu jamaa alikwisha pima akakutwa kuwa ni kichaa. Na anatakiwa kupewa ushauri nasaha.
 
HUU NI utoto
Watake radhi watoto manake wao akili zao ni nzuri sana kuliko za huyu mtu mzima hovyo..............huu ni zaidi ya ulimbukeni na ujinga!...........yaani ameshindwa kabisa kuficha upumbavuwake akaficha busara khaaa!
 
Usiende haraka mkuu,,mpaka hapa hakuna proof kwamba aliyefanya hivo ni Mwigulu,,picha hazimwonyeshi yeye ambao ndo ulikuwa ushahidi saaaaafi. Usiwe provoked upesi, na mpiga picha alitakiwa kumlenga yeye mvalishaji na mbwa wake sasa kapiga mbwa pekee then anatuambia ni Mwigulu

Wacha ubishi usio na mana, tembela wall yake ya facebook na pia tembelea group la TANURU LA FIKRA utamkuta huko anatamba.
 
Kutengeneza? yule mbwa mbona alipigwa mashine live.

Kwani hukumuaona yule sokwe wa bungeni???
Sasa huyu nchembe yakwake lazima awe ana .....wa!
Yeye si kamwaga mboga!
 
Weka picha.

Mkuu hapo ndio mwisho wa maoni yako? Au unataka picha inayoonesha akimvika mbwa? Kama imefanyika kwenye mkutano wake na amebariki, si ushahidi kuwa anasapoti na anaingia hatiani? Huu ni upuuzi kabisa.
 
Nimeamini huyu bwana hajui siasa...mwigulu ana siasa kama za Tambwe hiza.
 
Tendo huwa linareflect akili za mtu! Angekuwa kafanya kitendo hicho mtu mwenye akili timamu mfano kama Filikunjombe ningeshangaa sana ila akifanya mwigul au lusind wala usipoteze muda kuwafikiria wakati inafahamika wazi utimamu wao unategemea na uelekeo wa mwezi, sasa hivi mwezi uko mashariki na karibia utakuwa mwezi muandama!



ahhaaahaaha
 
Makamanda wala tusipoteze muda kumfikiria huyu mwigulu ambaye hafikiri kuwa singida haswa iramba kuwa sehemu yenye umasikini wa kutupa katika tanzania,tuendelee na mapambano dhidi ya ukoloni wa ccm.Kila kukicha chadema inapanuka kwa kasi aya ajabu huku ccm ikiwa icu
 
mpuuzeni, utoto wa unamsumbua.
Siasa ni hoja sio vituko.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA ndiye aliyezileta bendera za CHADEMA kwenye mkutano wa mbunge wa CCM. Mwenyekiti huyo akaanza kuongea maneno ya kuichongea CHADEMA kwa watu waliokuwepo kuwa imesababisha kifo cha mkazi wa jimbo hilo.
Tukio la kumvisha mbwa halijafanywa na Mwigulu, ambaye alikuwa katikati ya umati. Mbwa alivalishwa pembeni ya mkutano na aliyezileta bendera ni mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Iramba.
 
Tunatakiwa kipima elimu ya mtu kwa yale anayoyafanya na kuongea, maana hizi alama tunazozipata kwenye mitihani na vyeti!!!!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom