Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 3,536
- 9,611
Wameshaona hatari iliyo mbele yao.Naona siku hizi zile mbwembwe zimepungua
Huenda ilikuwa ni nguvu ya soda.Hivi mwigulu aliishia wapi?
Yupo anasomeshwa nambaHivi mwigulu aliishia wapi?
Mbona hata mama abdul amepunguza kupayuka payuka.Naona siku hizi zile mbwembwe zimepungua
Aliahidiwa Urais kupitia KKKT ..kwamba alitumie kanisa la KKKT kulichafua RC kisha iwe zamu ya mtu wa KKKT kuukwaa Urais..kupitia yeye..Huenda ilikuwa ni nguvu ya soda.
Aliahidiwa Urais kupitia KKKT ..kwamba alitumie kanisa la KKKT kulichafua RC kisha iwe zamu ya mtu wa KKKT kuukwaa Urais..kupitia yeye..Huenda ilikuwa ni nguvu ya soda.
Wataeleza sikumoja tukiwapelekea motoIvi polepole ajulikani yuko wapi adi leo hii duuuh
Kwel hii ndo Tanzania ya kazi na utu
Mbona hata mama abdul amepunguza kupayuka payuka.
Hata vikao vya ughaibuni ni mwendo wa kutuma wawakilishi tu. Inaonekana ndoto ya kuwa air hostess imetimia na chenji imebaki.
Ina make sense hii..Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.
Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.
Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.Huyu aliahidiwa atarithishwa kiti ili kulinda uovu wa october lakini sasahivi Yezebeli ameona ampe ahadi hiyo makamu wake endapo atafanikiwa kuteka hisia za watu.
Watanzania msikubali kuchezewa akili, hawa wote wanastahili kupelekwa mahali alipopelekwa Polepole. Haiwezekani mfanye mauaji halafu turidhiane, kamwe hatuta ridhiana na MAGAIDI.