Mwigulu akalia kuti kavu Iramba Magharibi

Mwigulu akalia kuti kavu Iramba Magharibi

Status
Not open for further replies.
Mh. Mwigulu Nchemba ni kiboko cha CHADEMA. Mtu mmoja tu anakisumbua chama chote mpaka wanakuja na mbinu ya kijinga na kitoto kama hiki.

Mh. Mwigulu anasimama kwenye hoja. Pesa haiwezi kununua hoja mbadala za Mh. Mwigulu.

Jengeni hoja na siyo kujenga wigo wa michango ya pesa. Mnaanza kutafuta pia mbinu nyingine ya kula pesa za wananchi wasiojua kilichoko nyuma ya michango yao.
 
Mbona kuti kavu ni gumu? angekalia jani kavu la mgomba ningefurahi zaidi

CC: Mpwa wangu CHAMVIGA
 
Last edited by a moderator:
Hali ya chuki dhidi ya
CHADEMA inayoonyeshwa na mbunge wa Iramba Magharibi dhidi ya CHADEMA
imesababisha wafuasi wa CHADEMA kote nchini kuungana kuhakikisha CHADEMA
inamshinda kwa kishindo kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la Iramba
2015.

Mwigulu Nchemba anakabiliana na Msomi aliyebobea Dr Kitila Mkumbo ambaye
ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Pia wafuasi wa CHADEMA wameapa kuhakikisha CHADEMA inazoa viti vyote vya
udiwani Iramba Magharibi ili kumuonyesha ni nini maana ya nguvu ya
umma.

Katika mahojiano na wafuasi kadhaa wa CHADEMA wa mikoa ya Mara,Kagera na
Mwanza wameutaka uongozi wa CHADEMA kuanzisha Akaunti maalum ambayo
itachangiwa na wanachama kuhakikisha Mwigulu harudi bungeni.

Wanachama hao wamesema chuki ya Mwigulu dhidi ya Chadema hailezeki na
ameapa kutumia njia zozote kuiangamiza CHADEMA.Wamesema hata awapo
bungeni hatetei chochote wanaIramba zaidi ya kutukana na kukashifu
viongozi wa CHADEMA.

Hii itakuwa ni Operesheni Ondoa Mwigulu Iramba(OMI) walisema wafuasi hao
wa Chadema.Pia walisema watajitolea kukaa Iramba kipindi chote cha
Kampeni kuhakikisha Mgombea wa CHADEMA anapata ushindi wa 80%.

Kwa sasa Jimboni Iramba Dr Kitila Mkumbo anazungumzwa kila kona ya Jimbo
hilo kama mwanasiasa makini,mpole na mtetezi wa dhati wa wananchi.Mzee
mmoja katika kata ya Ndago Iramba aliwahi kusema mwaka jana kuwa kwa
kawaida watu wa Iramba ni wanyenyekevu na wenye kupima maneno kabla ya
kuzungumza mfano wa Dr Kitila.Mzee huyo alisema hawakuwahi kujua kama
kuna siku wangekuwa na mbunge mwenye kuhamasisha chuki ndani ya jamii
kiasi cha kuhatarisha amani ya nchi.

mkuu, ile tabia ya kutembea na sumu mfukoni umeiacha? kitila hana ubavu wa kumwondoa mqwigulu.
 
Huyu ni mlokole upande wa shetani. Kwa maana nyingine shetani anataka walokole wake wa act namna hiyo.
 
Bams unajua unachokiandika au unakurupuka tu na kuanza kurusha makombora? Mwigulu hatoki kata ta ulemo anatojea makunda ni kata ya kyengege.Kama huna uhakika toa umbea wako humu JF peleka kwa watoto wenzako FB.Duu Mwigulu kweli kiboko ya CDM leo nimeamini.Nawahakikisheni njooni maCDM wote lakini huyu hamumuwezi. Ninachotaka kuwashauri ni kuwa BABU aache uchu wake maana huku atakufa. Wanyiramba tuweke mbali wake zetu BABU anakuja kwa kisingizio cha kumtoa MWIGULU.
 
MWIGULU HAWEZI TOKA KWA HALI HII>
~Ofisi ya chadema wilaya ya iramba ni gofu haina nyuma wala mbele.
~Katibu wa cdm wilaya ya iramba ni mtu wa mwigulu.
~Tundulissu ana bifu kali na Dkt Mkumbo.
~Chadema hakina tawi wala shina huku iramba.
~Hakujawahi fanyika mikutano ya nguvu.
~Mkutano wa zitto ulitangazwa mpaka saa tano za usiku lakini zitto hakutokea.
~Josephine Mshumbusi aliwadanganya wananchi wa kijiji cha mwigulu kuwa atawachimbia kisima toka 2011 mpaka sasa hajafanya lolote.
~KWA UJUMLA MWIGULU HAWEZI ONDOLEWA KWA UZEMBE NAMNA HIYO.
¤Mimi ni mwalimu mpya katika shule ya Makunda sekondari na nimefatilia kwa umakini uhai wa chadema hapa iramba,kiukweli cdm iramba bado,KITILA NA CDM INAKUBALIKA ULEMO,NDAGO,SHELUI,MISIGIRI,KIOMBOI,KYENGEGE MJINI hii ni katika kata 17~Kitila anakubalika kata 6 only.
USHAURI:
~Imarisheni uongozi wa wilaya sababu viongozi wanaofanya kazi kwa nguvu ni;PETER MALUME[katibu muenezi],JOSEPH ALFAYO[katibu wa bavicha]Godfrey Mushi [Katibu wa bavicha kata ya Kiomboi,nasikia now ni Kaimu Mwenyekiti wa bavicha wilaya] wengine wote ni bure.
~Leteni mikutano mingi,pia mwambieni Mshumbusi atekeleze ahadi yake.
 
Viva CCM
Viva Mwigulu,
Obrigado Mwigulu,
Songela zigizigi Mwigulu a.k.a lalilali
 
Very Interesting with this topic....Kuna watu wanatoka mapovu hapa tunashindwa kuelewa uhusika wao.. Lizaboni MwanaDiwani [MENTION=119524]Shelui ???????
 
Last edited by a moderator:
MWIGULU HAWEZI TOKA KWA HALI HII>
~Ofisi ya chadema wilaya ya iramba ni gofu haina nyuma wala mbele.
~Katibu wa cdm wilaya ya iramba ni mtu wa mwigulu.
~Tundulissu ana bifu kali na Dkt Mkumbo.
~Chadema hakina tawi wala shina huku iramba.
~Hakujawahi fanyika mikutano ya nguvu.
~Mkutano wa zitto ulitangazwa mpaka saa tano za usiku lakini zitto hakutokea.
~Josephine Mshumbusi aliwadanganya wananchi wa kijiji cha mwigulu kuwa atawachimbia kisima toka 2011 mpaka sasa hajafanya lolote.
~KWA UJUMLA MWIGULU HAWEZI ONDOLEWA KWA UZEMBE NAMNA HIYO.
¤Mimi ni mwalimu mpya katika shule ya Makunda sekondari na nimefatilia kwa umakini uhai wa chadema hapa iramba,kiukweli cdm iramba bado,KITILA NA CDM INAKUBALIKA ULEMO,NDAGO,SHELUI,MISIGIRI,KIOMBOI,KYENGEGE MJINI hii ni katika kata 17~Kitila anakubalika kata 6 only.
USHAURI:
~Imarisheni uongozi wa wilaya sababu viongozi wanaofanya kazi kwa nguvu ni;PETER MALUME[katibu muenezi],JOSEPH ALFAYO[katibu wa bavicha]Godfrey Mushi [Katibu wa bavicha kata ya Kiomboi,nasikia now ni Kaimu Mwenyekiti wa bavicha wilaya] wengine wote ni bure.
~Leteni mikutano mingi,pia mwambieni Mshumbusi atekeleze ahadi yake.
Mkuu, pamoja na kujiamini, msipuuze hayo maneno.

Lawrence Masha alikuwa anaambiwa maneno kama hayo akapuuza.
 
Wakuu chama,ritz,chris lukosi,kingukitano, bungeni,m23 nataka niwahakikushie kuwa CDM hata wakaleta ruzuku yao na michango yao yote kamwe MWIGULU hawatamuweza. Jamani acheni kujidanganya Dr Mkumbo hata nyumbani kwao MGELA hawamjuwi hv ubunge munatoa nyie humu JF? Tena anzeni kuchangisha leo.

BABU yenu mkija nae akaanza kuangalia wake wake zetu ndio utakuwa mwisho wake wahaya na wanyiramba ni tofauti. Chonde chonde BABU utakufa huku acha ulafi wako kinondoni..
 
asije akamresitisha in peace Dr bure,kwa roho ya kinyama,Kitila awe makini sana
 
Kingu Jr umenena vyema walau umewasaidia lakini watakutukana matusi subiri waamke. Tena Kiomboi, shelui hapa kwetu MKUMBO hana nafasi maana ya shelui nzima ha hawataki kukisikia CDM.
Huu mji ni wa kiarabu sasa mwarabu na CDM wapinawapi? Hapa kumtoa Mwigulu ni shida sana ingekuwa kura inapigwa humu JF no worries mungeshinda lakini kwa wananchi ng'o.
 
MWIGULU HAWEZI TOKA KWA HALI HII>
~Ofisi ya chadema wilaya ya iramba ni gofu haina nyuma wala mbele.
~Katibu wa cdm wilaya ya iramba ni mtu wa mwigulu.
~Tundulissu ana bifu kali na Dkt Mkumbo.
~Chadema hakina tawi wala shina huku iramba.
~Hakujawahi fanyika mikutano ya nguvu.
~Mkutano wa zitto ulitangazwa mpaka saa tano za usiku lakini zitto hakutokea.
~Josephine Mshumbusi aliwadanganya wananchi wa kijiji cha mwigulu kuwa atawachimbia kisima toka 2011 mpaka sasa hajafanya lolote.
~KWA UJUMLA MWIGULU HAWEZI ONDOLEWA KWA UZEMBE NAMNA HIYO.
¤Mimi ni mwalimu mpya katika shule ya Makunda sekondari na nimefatilia kwa umakini uhai wa chadema hapa iramba,kiukweli cdm iramba bado,KITILA NA CDM INAKUBALIKA ULEMO,NDAGO,SHELUI,MISIGIRI,KIOMBOI,KYENGEGE MJINI hii ni katika kata 17~Kitila anakubalika kata 6 only.
USHAURI:
~Imarisheni uongozi wa wilaya sababu viongozi wanaofanya kazi kwa nguvu ni;PETER MALUME[katibu muenezi],JOSEPH ALFAYO[katibu wa bavicha]Godfrey Mushi [Katibu wa bavicha kata ya Kiomboi,nasikia now ni Kaimu Mwenyekiti wa bavicha wilaya] wengine wote ni bure.
~Leteni mikutano mingi,pia mwambieni Mshumbusi atekeleze ahadi yake.
Kura hazipatikani JF. Kazi iko ground zero.

Hata hivyo, it's irrelevant kumuongelea mtu ambaye hata hajapitishwa kidemokrasia kuwa mgombea zaidi ya kura za mifukoni.
 
Unajua Miwgulu ni mtu mdogo, na mtoto mdogo sana katika siasa. Thread kama hizi mnamkuza wenyewe.
 
Nyie changisheneni chonde chonde wanyiramba ni weeupe mwambieni BABU yenu asije akaleta uibilisi wake akavunja ndoa zetu atarudi jina huku. Mi namjua ni bingwa wa kubilisi ndoa za watu.
 
Unajua Miwgulu ni mtu mdogo, na mtoto mdogo sana katika siasa. Thread kama hizi mnamkuza wenyewe.
Mwigulu anawanyima usingizi akina Molemo. Huyu hamutamuweza kamwe na atazidi kuwasambaratisha na hivi tunawatu wetu wengi ndani ya CDM akina Malume, Salai ohh kazi inaenda. Iramba na CDM wapi na wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom