Hv kweli ndani ya ccm hakuna mtu mwingine anayefaa kwenye nafasi ya unaibu katibu bara icpokuwa mwigulu tu, hata watu wenye heshima zao km kingunge, warioba, dr salim, sitta, mwakyembe, magufuli, kinana, mangula na wengine kwenye vikao vyao huwa wanajicfia kwa kuwa na jembe km mwigulu, km ni hv hakiamama ccm inaelekea kufa.