Mkuu unataka tukukumbushe fumanizi la Mwigulu Igunga? Tena mwanamke mwenyewe alikuwa anasaidia kampeni za CCM soma hapa Igunga: Kigogo wa CCM afumaniwa na mke wa mtuBams unajua unachokiandika au unakurupuka tu na kuanza kurusha makombora? Mwigulu hatoki kata ta ulemo anatojea makunda ni kata ya kyengege.Kama huna uhakika toa umbea wako humu JF peleka kwa watoto wenzako FB.Duu Mwigulu kweli kiboko ya CDM leo nimeamini.Nawahakikisheni njooni maCDM wote lakini huyu hamumuwezi. Ninachotaka kuwashauri ni kuwa BABU aache uchu wake maana huku atakufa. Wanyiramba tuweke mbali wake zetu BABU anakuja kwa kisingizio cha kumtoa MWIGULU.
Hali ya chuki dhidi ya CHADEMA inayoonyeshwa na mbunge wa Iramba Magharibi dhidi ya CHADEMA imesababisha wafuasi wa CHADEMA kote nchini kuungana kuhakikisha CHADEMA inamshinda kwa kishindo kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la Iramba 2015.
Mwigulu Nchemba anakabiliana na Msomi aliyebobea Dr Kitila Mkumbo ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.
Pia wafuasi wa CHADEMA wameapa kuhakikisha CHADEMA inazoa viti vyote vya udiwani Iramba Magharibi ili kumuonyesha ni nini maana ya nguvu ya umma.
Katika mahojiano na wafuasi kadhaa wa CHADEMA wa mikoa ya Mara,Kagera na Mwanza wameutaka uongozi wa CHADEMA kuanzisha Akaunti maalum ambayo itachangiwa na wanachama kuhakikisha Mwigulu harudi bungeni.
Wanachama hao wamesema chuki ya Mwigulu dhidi ya Chadema hailezeki na ameapa kutumia njia zozote kuiangamiza CHADEMA.Wamesema hata awapo bungeni hatetei chochote wanaIramba zaidi ya kutukana na kukashifu viongozi wa CHADEMA.
Hii itakuwa ni Operesheni Ondoa Mwigulu Iramba(OMI) walisema wafuasi hao wa Chadema.Pia walisema watajitolea kukaa Iramba kipindi chote cha Kampeni kuhakikisha Mgombea wa CHADEMA anapata ushindi wa 80%.
Kwa sasa Jimboni Iramba Dr Kitila Mkumbo anazungumzwa kila kona ya Jimbo hilo kama mwanasiasa makini,mpole na mtetezi wa dhati wa wananchi.Mzee mmoja katika kata ya Ndago Iramba aliwahi kusema mwaka jana kuwa kwa kawaida watu wa Iramba ni wanyenyekevu na wenye kupima maneno kabla ya kuzungumza mfano wa Dr Kitila.Mzee huyo alisema hawakuwahi kujua kama kuna siku wangekuwa na mbunge mwenye kuhamasisha chuki ndani ya jamii kiasi cha kuhatarisha amani ya nchi.
Mimi ni mwana Chadema, nipo Iramba. Sio kweli kuwa Mkumbo ni gumzo mji mzima wa Kiomboi. Wakazi wa Kiomboi wanaishi tu kama hawana mbunge lakini wala hawana fikra za huyo Kitila. Molemo usiwe mwongo hivyo
Pia amepewa blackberry used na Nape bila CDM asingevipata hivyoSumu shukuru uwepo wa chadema umepata ajira.!!!!!!!
Atapewa ubunge wa viti maalum
Mimi ni mwana Chadema, nipo Iramba. Sio kweli kuwa Mkumbo ni gumzo mji mzima wa Kiomboi. Wakazi wa Kiomboi wanaishi tu kama hawana mbunge lakini wala hawana fikra za huyo Kitila. Molemo usiwe mwongo hivyo
Dr Mkumbo hana ubavu wa kumwondoa MWIGULU huo ndio ukweli. Niambieni katika kata 17 Mkumbo nani anamjua? Kuna vijana wa ULEMO hawafiki hata 20, Kiomboi baadhi ya wachga tena kama 10 hivi, Misigiri hana chake, Ndago kuna vijana km 11 hv tena familia ya yule aliyekagombea nae nae 2010, the rest mkumbo hana kitu hajulikani. Huyo Dr Mkumbo ni kamanda wenu humu JF lakini sio kwa WANYIRAMBA huo ndio ukweli mtake msitake...