Mwigulu akalia kuti kavu Iramba Magharibi

Mwigulu akalia kuti kavu Iramba Magharibi

Status
Not open for further replies.
"Mzee huyo alisema hawakuwahi kujua kama kuna siku wangekuwa na mbunge mwenye kuhamasisha chuki ndani ya jamii kiasi cha kuhatarisha amani ya nchi".

Hayo ni maneno mazito sana toka kwa huyu mzee, hakika Siasa za Kimwigulu Michemba kwa sasa zimeligharimu taifa. huyu Michemba aliarika Mechi na Magaidi wa ukweli huku hajaiandaa serikali yake. Siasa Uchwana na Feki za Kuchakachua Ugaidi na Kuuweka kwenye mitandao ya Kijamii matokeo yake, leo magaidi wa ukweli wametua kutuonyesha ugaidi halisia. Michemba Migulu umetufikisha kubaya sasa ni jukumu lako ututoe hapa tulipofika, na Siasa zako Chafu Naamini kama utaendelea kuratibu siasa hizi, siku moja zitakufikisha Mahala usipopategemee. let us wait and see your next political popularity seeking Movies... ...
 
Sumu shukuru uwepo wa chadema umepata ajira.!!!!!!!

uwepo wa chadena tumepata kujua wezi wa EPA,MEREMETA, DIP GREEN, Na ujambazi KINANA Katibu wa CCM Kwa kuua tembo na kusafirisha pembe za ndovu ambazo zilikamtwa kule vietinum.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwana Chadema, nipo Iramba. Sio kweli kuwa Mkumbo ni gumzo mji mzima wa Kiomboi. Wakazi wa Kiomboi wanaishi tu kama hawana mbunge lakini wala hawana fikra za huyo Kitila. Molemo usiwe mwongo hivyo
 
Last edited by a moderator:
mmmh! hyo kali mkuu, itabidi abadili jinsia yake awe mwanamke ili apewe ubunge wa viti maalumu.
 
Huyo ndo msomi na mchumi daraja la kwanza, siasa kwake ni bure kabisa! Sijui ccm walimpaje unaibu katibu mkuu huyu bwana! Ndo maana nasema ccm ni janga kwa taifa!
 
Hali ya chuki dhidi ya CHADEMA inayoonyeshwa na mbunge wa Iramba Magharibi dhidi ya CHADEMA imesababisha wafuasi wa CHADEMA kote nchini kuungana kuhakikisha CHADEMA inamshinda kwa kishindo kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la Iramba 2015.

Mwigulu Nchemba anakabiliana na Msomi aliyebobea Dr Kitila Mkumbo ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Pia wafuasi wa CHADEMA wameapa kuhakikisha CHADEMA inazoa viti vyote vya udiwani Iramba Magharibi ili kumuonyesha ni nini maana ya nguvu ya umma.

Katika mahojiano na wafuasi kadhaa wa CHADEMA wa mikoa ya Mara,Kagera na Mwanza wameutaka uongozi wa CHADEMA kuanzisha Akaunti maalum ambayo itachangiwa na wanachama kuhakikisha Mwigulu harudi bungeni.

Wanachama hao wamesema chuki ya Mwigulu dhidi ya Chadema hailezeki na ameapa kutumia njia zozote kuiangamiza CHADEMA.Wamesema hata awapo bungeni hatetei chochote wanaIramba zaidi ya kutukana na kukashifu viongozi wa CHADEMA.

Hii itakuwa ni Operesheni Ondoa Mwigulu Iramba(OMI) walisema wafuasi hao wa Chadema.Pia walisema watajitolea kukaa Iramba kipindi chote cha Kampeni kuhakikisha Mgombea wa CHADEMA anapata ushindi wa 80%.

Kwa sasa Jimboni Iramba Dr Kitila Mkumbo anazungumzwa kila kona ya Jimbo hilo kama mwanasiasa makini,mpole na mtetezi wa dhati wa wananchi.Mzee mmoja katika kata ya Ndago Iramba aliwahi kusema mwaka jana kuwa kwa kawaida watu wa Iramba ni wanyenyekevu na wenye kupima maneno kabla ya kuzungumza mfano wa Dr Kitila.Mzee huyo alisema hawakuwahi kujua kama kuna siku wangekuwa na mbunge mwenye kuhamasisha chuki ndani ya jamii kiasi cha kuhatarisha amani ya nchi.
ningekuwa mimi ni kiongozi wa chama cha mapinduzi watu kama hawa wanaharibu image ya chama!! ni kweli hata wana CCM anawakera kwa vitendo vya siasa za kizamani za kimafia mafia.
 
huyu alikuja hapa tegeta dar akagawa pikipiki eti anataka jimbo la halima mdee nikacheka sana...
 
jamani account hiyo tusambazioe mara mmoja kiama ya mwigulu hiyooooooooo tuko tayari
 
Mimi ni mwana Chadema, nipo
Iramba. Sio kweli kuwa Mkumbo ni gumzo mji mzima wa Kiomboi. Wakazi wa
Kiomboi wanaishi tu kama hawana mbunge lakini wala hawana fikra za huyo
Kitila. Molemo usiwe mwongo hivyo

Hufuatilii siasa maana huwezi kuskia, Acha kukosoa usichokijua! Mi niko Iramba khabari zote ninazo.
 
Last edited by a moderator:
Ni kwamba hafai kuwa mbunge wala kuwa katibu bali anafaa kuwa katibu wa vyama vya wavuta bangi tena 2015 asirudi bungeni
 
Hata mimi nitachangia. Nipo
tayari kusimama majukwani na kwenda nyumba hadi nyumba Iramba kwa
kuanzia na kijiji chake cha ULEMO, kwa gharama yangu kuhakikisha Mwigulu
harudi bungeni wala kupata madaraka ya aina yoyote. Huyu kwa matusi
anayoyatamka, ushiriki wake wa kubambikia watu kesi, kupanga mipango ya
kushambulia watu, n.k.; lazima tuhakikishe baada ya kumtoa kwenye
ubunge, anasimamishwa mbele ya vyombo vya kisheria kwa uovu
alioufanya.

Anatokea kijiji cha makunda, kipo ndani ya kata ya Kyengege kama ckosoi mkuu.
 
Hali ya chuki dhidi ya CHADEMA inayoonyeshwa na mbunge wa Iramba Magharibi dhidi ya CHADEMA imesababisha wafuasi wa CHADEMA kote nchini kuungana kuhakikisha CHADEMA inamshinda kwa kishindo kwenye uchaguzi mkuu katika jimbo la Iramba 2015.


Mwigulu Nchemba anakabiliana na Msomi aliyebobea Dr Kitila Mkumbo ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.


Pia wafuasi wa CHADEMA wameapa kuhakikisha CHADEMA inazoa viti vyote vya udiwani Iramba Magharibi ili kumuonyesha ni nini maana ya nguvu ya umma.
Hiki chama kina matatizo na neno Demokrasia kwao liko tu vitabuni. Kwanza atakabiliana vipi na mtu ambaye hata hajapitishwa na chama kuwa mgombea?. Nani kampitisha Dr. Kitila kuwa mgombea wa ubunge?.

Huku kwanza ni kunyima watu haki zao za kikatibu siyo ndani ya chama tu, bali ndani ya katiba ya nchi. Pili, kufanya siasa za bila hoja za msingi ambazo zinanasibishwa na personal interest rather than national pressing issues.

Nguvu gani hiyo ya umma wakati Nchemba yuko bungeni kwa ridhaa ya kura za wananchi wa Iramba Magharibi.

Hizi ni siasa za kumtisha nyani, CHADEMA kwa ujinga au kwa upumbavu wao, wanafikiri upigaji wa kura ni kupiga kelele na kuongea sana (chadomo). Ni wananchi wa Iramba Magharibi watakaoamua 2015,
 
Dawa aliyopewa na mganga wake ambayo imepakwa kwenye skafu anayovaa shingoni imeanza kuchuja! Uchawi mbaya sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom