ManchoG
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 3,539
- 5,128
We kidogo unawajua wengine wote hopelessNdio Bashiri, aliigiza kama mpemba na kuna yule Mwita Maranya mbabe mbabe hivi
We kidogo unawajua wengine wote hopelessNdio Bashiri, aliigiza kama mpemba na kuna yule Mwita Maranya mbabe mbabe hivi
RIP babu, hivi mzee Small yupo?
Huyo huyo.Naam umenikumbusha huyo sheikh hivi sio Bushiri sijui Bashiri, wajuvi watatuweka sawa
Ukihojiwa Tu umezeeka ujue uko nearby, fuatilia🤣🤣RIP. Juzi kati tu nilisikia mahojiano yake
Bashir (Bithiri in Onyango's voice). Huyu Bashir alinogesha msemo wa 'Taarab imo humo' kibwagizo ambacho Clouds FM walikitumia sana miaka Ile ya 1999 - early 2000sKuna Sheikh flani alikuwa akiigiza na hawa wakongwe ila yeye alikuwa akizungumza kwa lafudhi ya kipemba. Sikumbuki aliitwa nani
At thee end ni maisha tu,sasa mule kwenye vichochoro vya ukwamani ingekuwaje?si bora pale kidogo,just imagine tule mama wa kizanzobari angewezaje kusurvive mule vichochoroni.Kilichonisikitisha ni kufanya shughuli zote za msiba nyumbani kwa dada yake wakati ana kwake hapo hapo Kawe, au marehemu ni wale wa kupanga chumba kimoja kiasi kwamba wanafamilia wake wameshindwa kuweka matanga nyumbani kwake, kwa mtu mzima kama marehemu ilitakiwa aagwe nyumbani kwake na si kwa dada/shemeji huko si kwake!
Mi pia nilijua hivo mpaka leo ndio nikahisi ni mt 🇹🇿. R.I. P muigizaji nguliEnzi hizo nilikua najua ni Mkenya,
Rest easy champ, tupo nyuma yako🕊
Mke anamuita onyangi mjombaWakuu huu msiba mbona naona familia ya Mwinyi umeubeba sana? Mke wa rais Mwinyi alikua msibani siku zote na siku ya mazishi rais Mwinyi na yeye alikuwepo, kuna anayejua chochote?
Mrs prizdaa ni mtoto wa dada yake onyango.Wakuu huu msiba mbona naona familia ya Mwinyi umeubeba sana? Mke wa rais Mwinyi alikua msibani siku zote na siku ya mazishi rais Mwinyi na yeye alikuwepo, kuna anayejua chochote