Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Kama mada inavojieleza hapo juu.
Kama kawaida ukiwa umeolewa na serikali shuruti urushwe rushwe kama kama mpira wa mdako...
Kwa mara ya kwanza nilianza kufanyia kazi
Kigoma...Dodoma...Kigoma...Zanzibar... Na sasa hivi nakuja Dar rasmi. Nawaomba watu Dar mnipe ushirikiano wenu wa hali na mali.. Makaazi yangu yatakua Kigamboni..
Watu Kigamboni tutakua tunaonana na kupiga swaga mbili tatu.. Ila kwa wale vibaka mkae mbali na mimi sitaki marafiki wa hivo.
Nikifika rasmi nitakuja kuwaomba mnisaidie sehemu ya kupanga ambayo hapana usumbufu na wezi maana chumba mara nyingi itakua kinabaki chenyewe.
Watu wa Dar nawaomba msiache kuja kunipa mongozo wa jinsi ya kuishi kwenye jiji takatifu...
Mshana wewe utakua kiongozi namba moja wa kunionesha eneo la kuishi ili kuepuka kilio cha kuibiwa mara kwa mara..
Nitakuja kukufata external kama kawaida yangu...
Mwisho niwatakie kazi njemaaaa.
Kama mada inavojieleza hapo juu.
Kama kawaida ukiwa umeolewa na serikali shuruti urushwe rushwe kama kama mpira wa mdako...
Kwa mara ya kwanza nilianza kufanyia kazi
Kigoma...Dodoma...Kigoma...Zanzibar... Na sasa hivi nakuja Dar rasmi. Nawaomba watu Dar mnipe ushirikiano wenu wa hali na mali.. Makaazi yangu yatakua Kigamboni..
Watu Kigamboni tutakua tunaonana na kupiga swaga mbili tatu.. Ila kwa wale vibaka mkae mbali na mimi sitaki marafiki wa hivo.
Nikifika rasmi nitakuja kuwaomba mnisaidie sehemu ya kupanga ambayo hapana usumbufu na wezi maana chumba mara nyingi itakua kinabaki chenyewe.
Watu wa Dar nawaomba msiache kuja kunipa mongozo wa jinsi ya kuishi kwenye jiji takatifu...
Mshana wewe utakua kiongozi namba moja wa kunionesha eneo la kuishi ili kuepuka kilio cha kuibiwa mara kwa mara..
Nitakuja kukufata external kama kawaida yangu...
Mwisho niwatakie kazi njemaaaa.