Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Ulokole ni janga la taifa. nakumbuka kisa cha power MANGEANA alivyowagegeda walokole Biharamulo, kwa kisingizio cha kuwaombea.
Emanuel mbasha ni mtumishi mwaminifu wa kanisa,shetani alimpitia kidogo
Emanuel mbasha ni mtumishi mwaminifu wa kanisa,shetani alimpitia kidogo
Amempitia kwenda wapi!
Kwa Mwanamke mcha Mungu kuhama nyumba kwenda kukaa hotelini si maadili. Bola angehama chumba akiwa ndani ya nyumba yake au angeenda kukaa kwa ndugu au family friend kwa muda. Huko hotel tutajuaje alikua anafanywa nini? Na huyu mwanamme mkeo kaondoka nyumbani,unakaa na kisichana peke yenu cha nini? Peleka kwa ndugu kwa muda mpaka mkirekebisha mambo! Chakula angektla pale jirani Tabata Mawenzi bar,na hata hamu ikizidi vidada poa angeokota pale,na wala visingekua na noma kwani ni LKU- Lipia kadri unavyotumia!.Ulokole wa ku act mbaya sana.
Hawa mastaa wa bongo wala siyo vioo vya jamii bali ni majanga.
Ajipe moyo. Atayashinda
Kosa ni la flora mbasha
Ww utakimbiaje nyumba uende hotel?
Km una hasira sn hana chumba au ondoka na familia yako yote.
Ni kweli hatukatai shetani ana deal na walioko kwny mstari.
Ulokole ni janga la taifa. nakumbuka kisa cha power MANGEANA alivyowagegeda walokole Biharamulo, kwa kisingizio cha kuwaombea.
Hawa wazinzi wanaozuga na ulokole ni hatari sana kwenye jamii yetu. Bora uwe zinzi guberi na ujulukane kwa hilo, kuliko kuwa zinzi lokole, siku ya kiama utakuwa kuni.