Pamoja na kuwa na maudhui nzuri katika kukumbusha jamii husika juu ya mapungufu fulani, kipengele cha mwewe cha clouds TV kimetokea kuripoti MFULULIZO mapungufu katika halmashauri zinazoongozwa na UKAWA.
Je, mwewe anatumika kisiasa?
Nawasilisha
Kila mtu anajikomba watanzania wamelaaniwa
Toa mfano wa hizo halmashauri na mapungufu yakePamoja na kuwa na maudhui nzuri katika kukumbusha jamii husika juu ya mapungufu fulani, kipengele cha mwewe cha clouds TV kimetokea kuripoti MFULULIZO mapungufu katika halmashauri zinazoongozwa na UKAWA.
Je, mwewe anatumika kisiasa?
Nawasilisha
hapo umeandika kinyume chake. unamjua wazi yule mtukufu asiyetaka kukosolewa.Tatizo MA-UKAWA hampendi kukosolewa..mnapenda kusifiwa..au kuona MA-CCM yakikosolewa
Kwani hayo mapungufu ni ya uongo?Pamoja na kuwa na maudhui nzuri katika kukumbusha jamii husika juu ya mapungufu fulani, kipengele cha mwewe cha clouds TV kimetokea kuripoti MFULULIZO mapungufu katika halmashauri zinazoongozwa na UKAWA.
Je, mwewe anatumika kisiasa?
Nawasilisha
Mpuuzeni huyo mwewe. Uongo hupanda lift ukweli hutumia ngazi lakini hufika unapotakiwa
Kila mtu anajikomba watanzania wamelaaniwa
!
!
Wanajikomba hadi wanakera aisee. Huyo mwewe ataruka ataishia kwa Makonda.
Mwewe fala huyo
Mwewe Boya kabisa huyo!
Ovaa
Ndio tatizo la UKAWA hamtaki kukosolewa.....mnatofauti gani Na serikali ya CCM.?Anatamani apigiwe simu na mkulu au apewe ukuu wa wilaya.
Mtukufu wenu ndiyo hataki kukosolewaNdio tatizo la UKAWA hamtaki kukosolewa.....mnatofauti gani Na serikali ya CCM.?
Walisema kuna wanasiasa wana hisa zao clouds wamenunua kipindi cha kuelekea uchaguzi mwaka jana! Sijapata ufafanuzi zaidi90% ya vipindi vya clouds vinatumika kisiasa kuibeba ccm