linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Leo mwewe yupo barabara ya kuelekea muhimbili hosp....ina mashimooo
Tunalalamika sana
Mi ni mtanzania lakini sijalaaniwa. Waliolaaniwa labda ni wale wanaojiona malaika. Hawakosei. Na wanapokosea hupenda wapigiwe makofi. Ukionesha makosa yao,utaitwa msaliti au umetumwaKila mtu anajikomba watanzania wamelaaniwa
Mi ni mtanzania lakini sijalaaniwa. Waliolaaniwa labda ni wale wanaojiona malaika. Hawakosei. Na wanapokosea hupenda wapigiwe makofi. Ukionesha makosa yao,utaitwa msaliti au umetumwa