Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 663
Mkuu achana nao wakikua watajua kuwa kuna mada za kuongea openly na mada ambazo inabidi uwe na msiri wako unayemwamini ambaye unaweza kuketi nae ukamweleza na akakupa ushauri
Itashangaza siku unaamka unakutana na mada Tulizo: Jana nimekula mwanamke wa pale Ohio watu watashika midomo
Nimeshawahi kuona mada kama hizo hapa.. Sikatai kuna umri wa kubalehe ambako viungo vyote vya mwili vinabalehe hadi akili.. hivyo kwa kijana wa kiume kutaja tu sehemu ya siri ya mwanamke ni pleasure tosha...
Vitu kama hivyo wanatakiwa wakaongee kwenye mabweni yao.. Siyo JF au MMU hapa ni wider forum..