- Thread starter
- #61
Aisee!
ndo hivyo yani nimepatikana sijui nifanyeje kiritimba miye
Aisee!
Hapa sio mahali pa kujustify kuachana....!
Mkuu ndo ujitangazie hivyosio tangazo ila nawatoa hofu wale waliozani kuwa mi ndo nina toothpic
Huyu kijana ni Great Thinker wa ukweli kabuni jina "mbweche", kuna nanai alikuwa anajuwa ni nini hicho kabla hajasoma hii nyuzi? Na kaiweka kiaina hii post ambapo hata asiyejuwa "mbweche" ni nini ameshaijuwa ni nini.
Haya kijana hongera zako. Kuhusu hayo mapumba sijawahi sikia, nimewahi kusikia kuhusu machicha. Umaanisha pumba kama za mahindi au mpunga? sio machicha lakini.
Mkuu ndo ujitangazie hivyo
haya mambo ni ya sirini mkuu na huwa hatusemi
Tunaficha unafanya suprise siku ukishamvua nguo
sasa nifanyeje mbona mnanichachamalia hivyo. na mi natamani nipate laha kama nyie wenzangu. wanawake naombeni maoni yenu
Kuhusu mapumba pumba kamwone Daktari; maana kumwacha mwenzio kwa sababu ya ugonjwa sio jambo uungwana; unaweza ukakosa mwingine mara itakapojulikana kuwa uliacha kwa sababu ya ugonjwa. Aidha, kuhusu mbweche kubwa- tafuta style ambayo utaifurahia.
<br />
<br />
Hapo sasa ndio umenena lakini sio kukataa kuwa hakuna wanawake,wenye maumbile makubwa hapo ndipo nilipokataa,watu wote hatulingani kuna warefu,wafupi,wembamba,wanene nk nadhani umenielewa mkuu.
Naamimi kila kitu kina namna ya utumiaji
Matumizi tuu mkuu na utaona kila kitu kinaenda sawa
wewe ndo umemwambukiza inatokana na wewe kuwa na nanii ndogo so hewa inaingia na vumbi
Utoto unamsumbua. Anaparamia mizigo inayomzidi. Hii sio issue ya kudiscuss kadamnasi, kaeni muongee na tumia style kama 'mbuzi kagoma'
nia yangu ni kuwa naomba ushauli jamani mana nipo kwenye dimbwi la mawazo, lolote naweza kufanya naombeni mawzo yenu najua humu kuna watu wajuzi wengi nisaidieni tafazali
Hiyo ndo kabisa atakuwa wala hagusi kuta za iyu mbeche <br />
<br />
Fanyeni oral
<br />wewe ndo umemwambukiza inatokana na wewe kuwa na nanii ndogo so hewa inaingia na vumbi
Great thinkers wa leo!
<br />
<br />
Nimcheka sana leo mpaka watu wakanishangaa anatoa pumba?