Sijui mimi sio mtaalamu 😁Hapo kapungua au kakonda?
Basiiii🤣🤣Sijui mimi sio mtaalamu 😁
Jamani 🤣🤣 kwa hiyo mtu kama solumeti wake yupo ng'ambo ya mto asivuke😹😹😹😹🙌
Ila wabongo mmenishinda tabia..!!
Jukusi kajimix kweli hapo kwa wapopo.!!
Acha kimlambe na hizi salamu ziwafikie wote mnaojifanya mnavuka boda..!!
Tunashukuru sasa hivi baada ya NRNE vijana wameanza kuamkaHakuna gen z aliyopo upande wa jux apa bongo maybe ma gen z machoko
Na simu yake pia si yakoKimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke yako lazima ajue uko wap, na nani na unafanya nini. Simu yako ni yake!!!
Solumeti hiyo kwiyooo 😹😹Jamani 🤣🤣 kwa hiyo mtu kama solumeti wake yupo ng'ambo ya mto asivuke
Hivi ni mtu gani mwingine maarufu aliyeoa nje hadi leo penzi liko imara?Solumeti hiyo kwiyooo 😹😹
Wavuke waende wapi?
Sisi ndio solumeti wao wa toka utotoni tumecheza wote kombolela na kibaba baba
Bora kupekeleshwa na mbongo mwenzio kuliko mtu wa mataifa mengine..! Unakuwa mtumwa hakuna wa kukutetea huko..!!
Atokee wapi? Labda star wetu wa JF nyani ngabu na bibi wake wa kizungu..!!Hivi ni mtu gani mwingine maarufu aliyeoa nje hadi leo penzi liko imara?
Kitambi ni scapegoat 🤔Mmmmhhh mbona alikuwa hana kitambi yule JOMBA .hivi kitambi anakijua?
Kuna watu wanadai huyo mamkwe Hana hata cha utajiri wala nini, ni wa wamama wa mjini janja janja!Inasikitisha kwa kweli...Ameyakanyaga....Na Mama yake Mkwe yupo kwenye NetFlix - The Real Housewives of Lagos.
Toka lini jux akawa na kitambi au hata kunenepa?Hiyo ni afya nzuri kwa binadamu ,sema wamatumbi tumekariri kiriba tumbo ndio afya njema
Labda kwa sababu simjui mkuuToka lini jux akawa na kitambi au hata kunenepa?
Ile sio afya asee, umeona shingo na mdomo, na mda wote ana ulamba lamba😂😂😂...
Kuna comment imenichekesha insta eti " sasa hivi jux akitaka kulamba mdomo mpaka apige mluzi" Watu wana maneno balaa
Tatizo anaishi kwenye kivuli cha Vanessa ,hakuweza kuishi maisha yake tena baada ya kuachana na Vee...ukiweka na maneno ya shombo ya wabongo kuhusu kukimbiwa, akaona na yeye atafute mnigeria...wale watu sio aseeLabda kwa sababu simjui mkuu
Kwenye pesa wanaigeria huwa hawachekeshi kwenye kutumia😅Tatizo anaishi kwenye kivuli cha Vanessa ,hakuweza kuishi maisha yake tena baada ya kuachana na Vee...ukiweka na maneno ya shombo ya wabongo kuhusu kukimbiwa, akaona na yeye atafute mnigeria...wale watu sio asee
Hata huyo Vanessa anaigiza Tu humo na huyo mnigeria, ni kanateseka balaa🤣🤣🤣
Duumbongo atakunyima pesa sio maneno
Hao wanao comment insta na tiktokNani Gen Z hapa?