Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 1,773
- 3,878
Mitandaoni kumeibuka mjadala kuhusu muonekano wa msanii wa Tanzania, Juma Jux, baada ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kudai kuwa msanii huyo amepungua uzito kwa kiasi kikubwa.
Baadhi ya machapisho yameambatana na picha na video zake za hivi karibuni, huku watumiaji wakijiuliza iwapo mabadiliko hayo ya mwonekano yanaashiria kuwa Jux ana tatizo la kiafya.
Baadhi ya machapisho yameambatana na picha na video zake za hivi karibuni, huku watumiaji wakijiuliza iwapo mabadiliko hayo ya mwonekano yanaashiria kuwa Jux ana tatizo la kiafya.