Mwenzenu nimeyatimba

Kwa hiyo wanaume huwa hamna UTI mnaambukizwa na wanawake tu
Mwanaume anatoboaje na UTI/gonorrhea? Ngumu sana masaa tu 24 mkojo unatoka kwa maumivu mixer pus! Lazima utafute sindano ya ceftriaxone/powersef/Xone injection ukazie na cefixime 400mg na Azuma. Ila wanawake mmeweka maagano na hayo magonjwa mnakaa nayo miezi.
 
Dawa zote hizo za Nini,??

Wakati Hiyo nitrof..... Inatosha kabisa kwa hilo tatizo....
 
Ferooz - starehe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…