Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
NMB walikusanya pesa nyingi sana ya wananchi kwa maelezo kwamba wananchi wanunue hisa. Hata mimi nilinunua hisa za haja katika uwezo wangu, nikashawishi na wengine wakaingia pia. Niliwaambia wasiogope NMB sio DECI nyingine, maana wengine walishalizwa na serikali kwa kisingizio kwamba DECI ni haramu.
Nina wasiwasi sasa, muda mrefu siambiwi hatma ya hela yangu
Nina wasiwasi sasa, muda mrefu siambiwi hatma ya hela yangu