LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
LD usimdanganye mwenzako... Mungu hatoi ulinzi kwa wazinzi!!!!
Mi sijui kama yeye ni Mzinzi,
Hata kama ndivyo, Mungu ni wa Rehema,
Namuombea ulinzi popote alipo Mungu amlinde, ampiganie,
na amuokoe na mikono ya wanyanganyi.
Dada mwanamke ni mlinzi wa mwanaume, mi sijui habari ya uzinzi,
lakini nasema kwa sababu ya upendo ulio nao kwake, Muombeee!!!
Maombi yana nguvu, hata kama unadhambi utatubu kabla ya kuomba.
Hakuna dhambi kubwa na ndogo, wala hatutakiwi tufe, ktk uovu/dhambi zetu.
Mungu aturehemu.