Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
JF ina vipaji na manabii:
Mkuu ulijuaje kama huyu muumizwa ni mwanamke?
Siku zote kwenye mapenzi wanao umizwa ni wanawake janaume haliumii lina mareserve wengi kede kede.
JF ina vipaji na manabii:
Mkuu ulijuaje kama huyu muumizwa ni mwanamke?
Siku zote kwenye mapenzi wanao umizwa na wanawake janaume haliumii lina mareserve wengi kede kede.
Umenena ukweli Mkuu
Siku zote kwenye mapenzi wanao umizwa ni wanawake janaume haliumii lina mareserve wengi kede kede.
Ndugu zangu wana JF mwenzenu niko kwenye hali mbaya, ni miezi michache imepita nilipata mpenzi ambaye nilijikuta kumpenda baaada ya kuvutana sana , maana yeye alipokuja kwangu nilimueleza jinsi nilivyoumizwa huko nyuma na kwamba kwa kweli siamini kama ananipenda, pamoja na vipingamizi vingi nilivyompa akanihakikishia kabisa kuwa yeye hakika ananipenda kwa pendo la kweli. Basi nikajikuta naingia kwenye mapenzi, hivi juzi akasafiri kuja huko nyumbani maana tuko ugenini tunasoma, tangia afike nyumbani hakuna mawasiliano yoyote nilyopata nimejaribu kuandika email maana sina namba ya simu hajibu. Na sina jinsi nyingine ya kumtafuta maana huko nyumbani simfaham hata rafiki yake. Je ndo nimeachwa?? au mpenzi wangu amepata shida gani sielewi nahisi kuchanganyikiwa tu.
mkuu una uhakika na hilo? sio mijanaume yote ni maplayer mazee, na hata playerz wanaumia vile vile usifanye mchezo na hizi ishu man
Siku zote kwenye mapenzi wanao umizwa ni wanawake janaume haliumii lina mareserve wengi kede kede.
Pole Samora kwa hiyo ukitoswa na nyumba ndogo unaumia? Unaumia kwa kukosa penzi au unaumia gharama zako?
Pole mwaya muombee ulinzi wa Mungu.
Inawezekana kuna kilichomsibu.
Hebu taja jina lake nikusaidie kumtafuta.
Kaka ako yule wait and hendsam :lol::lol::lol:
kadogo, hakajui haya mambo.
Thanks my dears for comforting me and some advices, My dear Nemo remember two months in Love is a long time and I'm real matured than ua thinking thats why I feel the dangerous alarm calling on my ears, is it possible real that he couldnt even manage to compose sms?? Jamani hiyo simu haichajiwi basi huo usiku umeme ukirudi?? Ila ok let me wait and see what we will happen."Je ndo nimeachwa?? "
Kama ni juzi tu amesafiri, isnt this kind of thinking a little premature ?Kama ametoka mbali then factor in a few days for her to settle,catch up and bond with her family. Hata hivyo kwani didnt you guys discuss how you 'll be staying intoch before she left??