mwenyewe anajiona mjanjaaa....!!!

mwenyewe anajiona mjanjaaa....!!!

hahahaha......hiii kweli noma, usiombe sasa balaa lile kwa refarii, utakuta refarii anachezesha mpira ukifika mwisho anaelekea upande wa nyumba ilio karibu then akimaliza tu ni mbio mpaka ndani......hahahahha

hahahahaha! umenichekesha,au refa anachezesha kiunoni ana kisu
 
teteh teheh nimecheka sanaaa...dah!!sasa hivyo vistoniii atampigaa navyoo nanii,kwelii ukubwaa wa bofloo dawaa yake chai ya rangi
 
Mimi nadhani mawe hayo si kwa ajili ya vita ila ni kitendea kazi,maana alipo hana notebook wala file yoyote mkononi.Hivyo inapofika muda wa kutoa mawaidha anayapanga mawe yake chini na kutoa maelekezo....
 
Bongo komeeedi kibao yani hadi rahaaaaaa soka le2 bwanaa!!
 
yaani we acha tu hizi mechi za mchangani refa lazima ujue kutimua mbio

moja iliisha KIBAHA juzi kati..! ilikua ni balaa yani refa alimalizia mchezo kwenye angle kule mwisho.. baada ya kupiga kipyenga tu jamaa alitoka nduki kinyama yani..! it was fun asee teh teh teh....!
 
Ukubwa wa skonzi dawa yake kikombe cha chai, skonzi yote inanywea
 
huyu badala ya kutuliza ghasia yeye ndo anaandaa mawe ili alianzishe? discpline kwa wachezaji itatoka wapi kama yeye anafanya hivi?
 
Hahahahahaaaaaaaaaa......Kwikwi...kwekweee..kkkkkkk. Mpira wa bongo karne ya 21
 
ihii picture imeniacha hoi sana ,Jamaa na mwili wote huo anabeba mawe,
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]" Kocha wa Taswa Fc, Ally Mkongwe, akiwa nje ya uwanja wakati akitoa maelekezo kwa wachezaji watimu yake huku akijihami na silaha ya mawe,ni baada ya mchezo huo 'kunuka' yaani kuharibiwa na mchezaji Nsa Job na kusababishavurugu. .[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]
mia​
duh.... bonge balaa
 
Back
Top Bottom