mwenyewe anajiona mjanjaaa....!!!

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
" Kocha wa Taswa Fc, Ally Mkongwe, akiwa nje ya uwanja wakati akitoa maelekezo kwa wachezaji watimu yake huku akijihami na silaha ya mawe,ni baada ya mchezo huo 'kunuka' yaani kuharibiwa na mchezaji Nsa Job na kusababishavurugu. .

<TBODY>
</TBODY>
mia​
 
hahahaha......hiii kweli noma, usiombe sasa balaa lile kwa refarii, utakuta refarii anachezesha mpira ukifika mwisho anaelekea upande wa nyumba ilio karibu then akimaliza tu ni mbio mpaka ndani......hahahahha
 
hahahaha......hiii kweli noma, usiombe sasa balaa lile kwa refarii, utakuta refarii anachezesha mpira ukifika mwisho anaelekea upande wa nyumba ilio karibu then akimaliza tu ni mbio mpaka ndani......hahahahha

yaani we acha tu hizi mechi za mchangani refa lazima ujue kutimua mbio
 
Hivi Mkuu Mfigganigga,mia inamaana gani maana kila umalizapo unamalizia na MIA.
 
Hahahahaaa, Jamaa mbona ana mwili nyumba, mawe ya nini tena?

Lol
 
huyu jamaa namfahamu, ni baunsa wa Msondo Ngoma, ukocha kaanza lini?
" Kocha wa Taswa Fc, Ally Mkongwe, akiwa nje ya uwanja wakati akitoa maelekezo kwa wachezaji watimu yake huku akijihami na silaha ya mawe,ni baada ya mchezo huo 'kunuka' yaani kuharibiwa na mchezaji Nsa Job na kusababishavurugu. .

<tbody>
</tbody>
mia​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom