figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
teh teh teh na ubaunsa wote lakini anategemea mawe mwili mkubwa bure
hahahaha......hiii kweli noma, usiombe sasa balaa lile kwa refarii, utakuta refarii anachezesha mpira ukifika mwisho anaelekea upande wa nyumba ilio karibu then akimaliza tu ni mbio mpaka ndani......hahahahha
mpira wa kibongo ni zaidi ya burudani
Hivi Mkuu Mfigganigga,mia inamaana gani maana kila umalizapo unamalizia na MIA.
kayapata nje ya uwanja, hapo kwenye majani aliposimama.na sijui kayapata wapi haya mawe. uwanjani panakuwa na mawe?