Mwenyekiti wangu, Mfukuze Nape Uanachama Mara Moja

Thubutu!!
Hata kidogo hawezi cheza mziki wa Magufuli.

Hizo plan alizo nazo zitamtokea puani!!
Hii ni CCM bhanaa,
Ebooo!!
 
kama serikali inafanya mambo yake vizur, y muhangaike na nape acha unafiki .
 
Sasa unamchongea kwa jpm au?
 
Nape mnafiki sana na ni mchumia tumbo. CCM kuweni naye makini. Yaani saivi ndo anajidai anauchungu wakati sio siku zote alikua ccm na matukio yalikua yakifanyika kama kawaida.
 
Naendelea kuwa wa kwanza kutoa comment...

Mengi mtajua wenyewe ccm huko ila nikukumbushe kuna Uzi wako wa juzi humu unaigiza kuhama cdm kwenda ccm afu Maelezo yako yanaonesha we ni mwanachama wa Muda mrefu.
Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu!
hahaha chikuntentema
 
Ni sawa mkuu mangi lkn kwani kwa hali ilivyokuwa Nape alikuwa sahihi kwa alichofanya. Kilichotakiwa nikwamba Mzee angepokea ripoti ya Nape nakupiga kimya bila kutolea maamuzi hata kwa miaka kadhaa kusingekuwepo na wakumuliza. Sasa watu wengi wamekuwa wakimtetea Nape kulingana na hali halisi kwani haingii akilini aliyekuwa akimkimbiza mwizi nakumkamata kisha kumfikisha kwenye vyombo vya usalama halafu yeye ndio akaswekwa rumande kisha mwizi akaachiwa huru. Inauma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…