johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,130
Jana mwenyekiti wa Wafanyabiashara Kariakoo Martin Francis Massawe aka Martin Mbwana alisema kinachoendelea mgomo Kariakoo ni mambo ya Siasa.
Mimi nikadhani labda ni Ule Uchochezi unaofanywa na ex mayor Bonny wa Chadema.
Kumbe yeye mwenyewe Massawe ni Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM huko Uchagani Kilimanjaro.
Hapo Wakinga na Waha lazima wachachamae akina bwashee kwa dili tunajulikana😄😄😄
Nchi ngumu sana hii!
Mimi nikadhani labda ni Ule Uchochezi unaofanywa na ex mayor Bonny wa Chadema.
Kumbe yeye mwenyewe Massawe ni Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM huko Uchagani Kilimanjaro.
Hapo Wakinga na Waha lazima wachachamae akina bwashee kwa dili tunajulikana😄😄😄
Nchi ngumu sana hii!