CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Kipindi hicho kinaanza Saa 2:00 Asubuhi.
Atachambua maswala mbalimbali ya Uchumi na Hali Tuliyonayo Katika Kipindi hiki Cha Gonjwa la CORRONA Nchini.
USIKOSE
Wameandika "Mlimani TV"!!Hicho kipindi kinarushwa na chombo gani cha habari?
Tanzania hii ni nani tena anaweza kumsikiliza na kumuelewa lipumba ?!
Labda kukosa kazi
Odhis *
Bingwa mwenzio sio? Maana mabingwa huwa wanaelewana na mabingwa wenzao!!Mimi namsikiliza na kumuelewa
Bahati mbaya sana huwezi kuzungumzia Uchumi bila ya kuizungumzia siasa pia. Siasa na Uchumi ni tope na maji!!kama akizungumzia uchumi tutamsikiliza ila kwenye siasa anyamaze tu
Bingwa wa Uchumi alishindana na nani na akamshinda? Au Ubingwa wake mmeupimaje?
Hivi mlipoamua kuandika neno "Bingwa wa Uchumi duniani" mlitafakari ama mlijikuta tu mnaandika?
Nilifeli darasa la saba!!Hahahahahah
Tuwekee matokeo yako ya shule ili tujiridhishe una vigezo vya kum assess Prof?
"Professional" ni nini? Mwenyekiti ambaye ni fundi seremala akizungumzia kuhusu kutengeneza vitanda hiyo haitakuwa "Professional"?Kuna wenyeviti wa vyama vingine nje ya siasa hawana chochote cha kuchambua professionally labda kuchambua mchicha na dagaa.