Ila wabongo kwa uchuro.hamjambo.Au na yeye anafuata nyendo za mwenyekiti wa kile chama kingine... Ohooooo (just kidding) 🤣🤣🤣
Yupo Dubai. Ana nyumba Dubai.Nimewaza nikaona niulize hili swali kwa kuwa ni muda mrefu sijamuona hadharani mwenyekiti wa CHADEMA.
Nina marafiki wa karibu huko, lakini hakuna aliyetoa jibu wengi wananambia sio kazi yako kujua.
Lakini niseme wazi ninamkubali Sana mbowe kwenye busara na hekima, hata Kama Jambo ni baya kiasi gani anaweza kuliamua kwa hekima kubwa sanaa au akalimaliza kimyakimya bila kuleta madhara kwa watu.
Kama kukushughulikia basi atafanya kwa weledi mkubwa, kwa hapo namkubali sana. Ana chunga Sana ulimi wake.
Ila upo kimya sana, Kuna mambo mengi ya kuongea hapa maana siasa bila kashikashi hazinogi kabisa.
Pamoja.
Na bado, mtalia sana lakini hamtaniona. Mtasaga menoNimewaza nikaona niulize hili swali kwa kuwa ni muda mrefu sijamuona hadharani mwenyekiti wa CHADEMA.
Nina marafiki wa karibu huko, lakini hakuna aliyetoa jibu wengi wananambia sio kazi yako kujua.
Lakini niseme wazi ninamkubali Sana mbowe kwenye busara na hekima, hata Kama Jambo ni baya kiasi gani anaweza kuliamua kwa hekima kubwa sanaa au akalimaliza kimyakimya bila kuleta madhara kwa watu.
Kama kukushughulikia basi atafanya kwa weledi mkubwa, kwa hapo namkubali sana. Ana chunga Sana ulimi wake.
Ila upo kimya sana, Kuna mambo mengi ya kuongea hapa maana siasa bila kashikashi hazinogi kabisa.
Pamoja.
Wewe unaamini kua Mbowe ni mpinzani?Nimewaza nikaona niulize hili swali kwa kuwa ni muda mrefu sijamuona hadharani mwenyekiti wa CHADEMA.
Nina marafiki wa karibu huko, lakini hakuna aliyetoa jibu wengi wananambia sio kazi yako kujua.
Lakini niseme wazi ninamkubali Sana mbowe kwenye busara na hekima, hata Kama Jambo ni baya kiasi gani anaweza kuliamua kwa hekima kubwa sanaa au akalimaliza kimyakimya bila kuleta madhara kwa watu.
Kama kukushughulikia basi atafanya kwa weledi mkubwa, kwa hapo namkubali sana. Ana chunga Sana ulimi wake.
Ila upo kimya sana, Kuna mambo mengi ya kuongea hapa maana siasa bila kashikashi hazinogi kabisa.
Pamoja.
Hivi kwa mfano, akiumwa inahitajika yeye, familia au CHADEMA iitishe press conference kueleza umma? ili isionekane kama ni siri?Anaumwa nini? Na kwa nini unafanywa Siri? Naomba majibu
Huu umeme ni mara kumi ya ule wa mradi wetu kule Rufiji. Unamaanisha tuahirishe mradi huu hatuna haja ya kuendelea na ujenzi?Yupo Dubai ana umeme wa megawatt 20,000.
Mwenyekiti madeni yamekuwa Mengi mpaka amekwenda kujificha Zenji.
CHEMSHA BONGO - PROF "J"
Nimewaza nikaona niulize hili swali kwa kuwa ni muda mrefu sijamuona hadharani mwenyekiti wa CHADEMA.
Nina marafiki wa karibu huko, lakini hakuna aliyetoa jibu wengi wananambia sio kazi yako kujua.
Lakini niseme wazi ninamkubali Sana mbowe kwenye busara na hekima, hata Kama Jambo ni baya kiasi gani anaweza kuliamua kwa hekima kubwa sanaa au akalimaliza kimyakimya bila kuleta madhara kwa watu.
Kama kukushughulikia basi atafanya kwa weledi mkubwa, kwa hapo namkubali sana. Ana chunga Sana ulimi wake.
Ila upo kimya sana, Kuna mambo mengi ya kuongea hapa maana siasa bila kashikashi hazinogi kabisa.
Pamoja.
Kwani na ninyi hamtaki siri za kiongozi kuumwa? Mbona hukuhoji kufichwa juu ya kuumwa kwa mwendazake?Anaumwa nini? Na kwa nini unafanywa Siri? Naomba majibu
Mnamhakikishia usalama akiongea yasiyowapendeza? Maana hamchelewi kumpa ukilema mtu anayepingana nanyi.Nimewaza nikaona niulize hili swali kwa kuwa ni muda mrefu sijamuona hadharani mwenyekiti wa CHADEMA.
Nina marafiki wa karibu huko, lakini hakuna aliyetoa jibu wengi wananambia sio kazi yako kujua.
Lakini niseme wazi ninamkubali Sana mbowe kwenye busara na hekima, hata Kama Jambo ni baya kiasi gani anaweza kuliamua kwa hekima kubwa sanaa au akalimaliza kimyakimya bila kuleta madhara kwa watu.
Kama kukushughulikia basi atafanya kwa weledi mkubwa, kwa hapo namkubali sana. Ana chunga Sana ulimi wake.
Ila upo kimya sana, Kuna mambo mengi ya kuongea hapa maana siasa bila kashikashi hazinogi kabisa.
Pamoja.
Lugha za mjini uwezi zielewa.Huu umeme ni mara kumi ya ule wa mradi wetu kule Rufiji. Unamaanisha tuahirishe mradi huu hatuna haja ya kuendelea na ujenzi?
Mbowe ni mtu mmoja ana hekima sana. Ukiona amekaa kimya hivi, siku akija kufunguka jitahidi kumsikiliza vizuri. Ana hekima ambayo iko juu kidogo ya umri wake
Wapi? Na anaumwa nini?Yuko kwenye matibabu .
Kuuliza sio ujinga bwashee, yupo wapi?Huu umeme ni mara kumi ya ule wa mradi wetu kule Rufiji. Unamaanisha tuahirishe mradi huu hatuna haja ya kuendelea na ujenzi?
Mbowe ni mtu mmoja ana hekima sana. Ukiona amekaa kimya hivi, siku akija kufunguka jitahidi kumsikiliza vizuri. Ana hekima ambayo iko juu kidogo ya umri wake
Mbowe yuko DubaiNapenda kujua na kufahamu alipo mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe.
Ni zaid ya mwezi sasa ndugu Freeman Mbowe haonekani hadharani , na hata kwenye msiba wa JPM still saut ya Mbowe ilikuwa kimya.
Kwa yyte mwenye kufahamu anijuze tafadhali
Ooh Sawa mkuu, ngoja hope atakuja aseme neno Kwa watzMbowe yuko Dubai
Ni mzima kabisa
Kateswa kaibiwa kura kafungwa
Ña bado Mungu kamtetea.
Unafikiri ni Mbowe tu haonekani? Wenye akili wengi kweli wamefadhaishwa sana na yaliyotokea hivi karibuni. Kufariki kwa Rais wa Nchi yetu kwa COVID -19, imeonyesha ubovu mkubwa wa Taasisi zetu, kuanzia Usalama, Afya, nk nk. Hatuko salama tena.Napenda kujua na kufahamu alipo mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe .....
Ni zaid ya mwezi sasa ndugu Freeman Mbowe haonekani hadharani , na hata kwenye msiba wa JPM still saut ya Mbowe ilikuwa kimya ....
Kwa yyte mwenye kufahamu anijuze tafadhali ,