Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Unahoji hoji mapato chadema? Wee nani? Lazima ushughulikiwe ipasavyo
ONYO KALI: Ukihoji ruzuku bila kutonya wezi wa ruzuku lazima tukupe kesi ya usaliti-Chadema makao makuu
Unahoji hoji mapato chadema? Wee nani? Lazima ushughulikiwe ipasavyo
Kaenda tofauti na fikra za padri.Hongera cdm huyu mchungaju ni mnafiki sana bora amefukuzwa
Bila kusahau mtukufu Slaa na na malaika JosephineYoyote atakayekwenda kinyume na fikra za Mtei na Mbowe anafukuzwa safi sana.
TAARIFA KWA UMMA........ibara ya 10 (X) "Kiongozi asitoe tuhuma zozote juu ya viongozi wenzake pasipo kupitia vikao halali na kuzingatia taratibu na ngazi zilizoelezwa kwenye kanuni za chama".....
Amani Golugwa
Katibu wa CHADEMA – Mkoa wa Arusha.
(Kwa niaba ya Baraza la Uongozi la Mkoa wa Arusha)
Tarehe 30 Novemba 2013
============================== ====================
Tufukuze vimbweha vyote bado 44
Kosa kubwa la Mchungaji kuhoji posho kutoka 1,500,00 mpaka 2,500,000 kwa mkurugenzi.ONYO KALI: Ukihoji ruzuku bila kutonya wezi wa ruzuku lazima tukupe kesi ya usaliti-Chadema makao makuu
huko kuna ile lugha ya kijinga sana kwamba eti chama kitatikisika ! poor magamba !chadema mmelipata wapi fagio la chuma la mzee mwinyi ninyi ?? kwanini msiwaazime CCM wakasafishia
majambawazi wakina LOWASSA NA KINA CHENGE
Wabakaji wakina Kapuya na wenzake
madila wa meno ya tembo wakina KINANA
walioua elimu yetu wakina kawambwa na wengineo ???
Yoyote atakayekwenda kinyume na fikra za Mtei na Mbowe anafukuzwa safi sana.
Chama kimepoteza kabisa sifa ya utaifa.Bila kusahau mtukufu Slaa na na malaika Josephine
Kosa kubwa la Mchungaji kuhoji posho kutoka 1,500,00 mpaka 2,500,000 kwa mkurugenzi.
Bila kusahau mtukufu Slaa na na malaika Josephine
Kosa kubwa la Mchungaji kuhoji posho za viongozi.Huyu ni mchungaji wa msikiti gani make hawa chadema kwa udini
Kaskazini kwanza utaifa baadae,hiki chama mzee Mtei amekisajili kwa pesa yake mpaka familia irudishe ilichowekeza kwanza ndio utaifa ujeChama kimepoteza kabisa sifa ya utaifa.