Mwenyekiti wa CCM uone aibu!

Mwenyekiti wa CCM uone aibu!

Hata Marekani wanaotoa mchango mkubwa wa Ushindi kwenye kampeni hukumbukwa kwenye kuunda serikali.

Wewe unafikiri vita ya Propaganda kama siyo wale vijana kusimama kidete kwenye mitandao shaping ya opinion ingetawaliwa na nani?

JK ni muungwana sana, ndiyo maana anatambua michango ya watu waliokifikisha chama kushinda, anaona ni watu wanaofaa kukumbukwa.

Ifahamike, Serikali iloyoko madarakani inaongozwa na Magufuli lakini siyo ya Magufuli, Ni serikali ya CCM, Ilani ya Uchaguzi ya CCM , CCM ambayo mwenyekiti wake ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Umeanza vizuri lakini sijakuelewa mkuu! Una maana kama wamarekani wanapeana vyeo kwa vigezo vya shukrani ni sahihi Mh. Magufuli kuanza uteuzi kwa kigezo cha kupigania chama au........? Halafu lini nchi na watanzania wanyonge vitakuwa vipaumbele?
 
Haya mambo ni ya kichama sasa sijui UKAWA mnawashwa na nini.
Umeshakuwa mtumwa wa uchama hata huoni beyond vyama maskini! Sizungumzii ushabiki hapo. Fuatilia mambo kabla ya kuropoka.
Utaaibika maana The Analyst si mshabiki wa UKAWA wala CCM lakini aliamini katika uwezo wa JPM miaka 15 iliyopita. Wewe hujui vitu lkn hutaki kujifunza.
 
Huenda ana uhakika kuwa "hao vijana" wakishakumbukwa na Rais basi na yeye kwa namna moja au nyingine atanufaika kama "Mzazi"...
 
Jamani mbona mnazoza sana!! Mwacheni baba Miraji apumzike.wewe huwezi kuwa yeye hata ufanyeje? Unatamani umfikie hata nusu.jamani alopewa kapewa....fikiria zaidi maisha yako mtoa mada. Ikulu hawezi kuacha kwenda.au siku akitaka kwenda mwambie akupitie japo ukapapase macho.......
Kaazi kwelikweli! Umewahi kutunga japo shairi moja la taarabu? Ndugu wewe una kipaji. Fuatilia kikusaidie!
 
Naomba niseme sijamuelewa vizuri sana rais wetu mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mh. JK lakini kama haya ndiyo anayomaanisha basi ni vizuri akaanza kuona haya aka aibu. This is not the time. Please JK settle down.
Mara kadhaa amejaribu kumshawishi Rais "awakumbuke vijana waliokipigania CCM kwenye mitandao ya kijamii wakikesha nk nk" Je hii ina maana wateuliwe katika nafasi za juu kwenye serikalini au watafutiwe fedha za kifuta jasho? Kama hii ndiyo maana yako basi tunapaswa kukuombea maana una matatizo makubwa!

Kama nia yako ni kumwambia rais aliyepo madarakani awaone na kuwapa mkono wa pongezi na shukrani hiyo ni kazi yako wewe na wanachama wenzako katika chama lakini si majukumu ya msingi ya urais as an office/institution. Wananchi wa kawaida hata hatupaswi kujua.

Labda nikukumbushe mambo machache Mh. Mwenyekiti.

Mbinu zenu chafu (kupitia mtandao wenye umafia ndani yake) ndiyo chanzo cha Tanzania kukosa kiongozi bora wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005. Tungeweza kuwa na Magufuli wakati ule au hata Salim A. Salim na yeyote mwingine for that matter. Lakini wenye uwezo walikatishwa tamaa na kupitia ujanja ujanja sawa na aliojaribu rafiki yako Edo ukashinda kwa kishindo na wenye kufaa kihalisia wakapotezwa kiaina. Kumbuka gazeti la Rai dhidi ya Magufuli then!

Hukuwa na mpango wowote wa kuisaidia Tanzania kama nchi. Hata ukikataa leo rohoni unajua hukuwa na plan yoyote JK!

Wanamtandao mlitumia mbinu na fedha nyingi kupata madaraka lakini hamkuwa na moja la kuitoa nchi ilipokuwa imefikia. Mwenzio pamoja na machafu yake kapunguza madeni wewe na rafiki zako mkawa mnatumia tu!
Ulitarajia nini? Maisha yaboreke au familia yako ineemeke?

Ulikuja na "Baraza la Marafiki" sikumbuki idadi lakini 60 ilitajwa mara kwa mara. What exactly did you expect? Kuboresha maisha ya wanyonge waliokushabikia wakidhani utasaidia kwa kuwa na utitiri wa mawaziri?

Leo kaingia kiongozi mpenda wanyonge na mzalendo (zaidi yenu wanamtandao wote) unataka kumshawishi afuate nyayo zako mbovu ili kuwafurahisha nyie wachache? Ona aibu bosi! Huu siyo wakati. Nani asiyejua kwamba hakuwa chaguo lako kwanza. Kama Magufuli alikuwa chaguo lako tangu awali "Unpopular Membe" aliingiaje tano bora? Wacha zako hizo!

Magufuli akifuata ushauri wako kwa kuwakumbuka waliokipigania chama kwa njia mbalimbali katika kipindi kigumu hasa wakati rafiki yako kipenzi Edo akitishia hali (kwa tafsiri ya favours na vyeo) basi ni wazi yafuatayo lazima yatokee.

1. Ulaji mpya wa mali ya Umma hasa miongoni mwa wateule favour/shukrani "pigania chama".
2. Kudorora kwa vita dhidi ya rushwa. (Nani asiyejua baadhi ya wakwepa kodi ni wachangiaji katika kampeni zenu katika mtandao).
3. Kufa kwa juhudi za kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya. (Wengine rafiki na familia zenu na mnajua).
4. Kuporomoka kwa mapato ya serikali kufuatia ukusanyaji mbaya wa kodi/ushuru na maduhuli ya serikali.

The list goes on and on!
Naomba nirudie tena "Bw. JK kama ushauri wako ni kumtaka rais apendelee watu waliomsaidia kushinda uchaguzi ni wazi umeishiwa na bora hata ukaona aibu na kung'atuka uwenyekiti mapema tu kuwapisha watu wanaoamini potential ya taifa letu katika kupata maendeleo.

Nakumbuka wewe uliamini tunaweza kuifikia Japan kwa msaada wa Marekani na Ulaya. Hahahaaaa!

Your time is over.
Kama umeondoka madarakani ukiwa unpopular sana ilikuwa choice yako mwenyewe! Huwezi ku-graduate Uchumi ukashindwa kujua dollarlization ya uchumi kwa nchi inayoimport takriban kila kitu kama Tanzania ni kutafuta mfumuko wa bei usio wa lazima!

Asante kwa kusoma!
unakunywa bia gani mzee nikurushie hata tatu, maneno yamenigusa sana, naungana na wewe kukereka na ile hali tembelea IKULU kila saa
 
Mkuu umeandika hadi mambo makubwa hadi nimejiuliza sana kama nichangie au niachel; hapo ulipomalizia hapo hapo, eti "Nakumbuka wewe uliamini tunaweza kuifikia Japan kwa msaada wa Marekani na Ulaya. Hahahaaaa" Ukweli hapo nimecheka sana; well kufuatia matamshi yake yale kwa wale vijana 46 mtazamo wangu kwake ulikua hivi (au nilimtafsiri hivi) Tofauti ya JK na Magu ni hi, Magufuli kawekeza kwenye kupata matokeo chanya ya watu anao wateua while JK yeye matokeo chanya ilikua ni kipaumbele chake cha tatu au cha nne this is why ukiangalia baadhi ya mawaziri wake over 75% ulikua unajiuliza hivi hawa wanajua hata job descriptions zao kweli? Hawa Ghasia, Shukuru Kawambwa, Sophia Simba, Philip Mulugo nk. Hizo ndio tofauti zao kati ya marais hao 2
 
rais mstaafu anatakiwa kujua muda wake umepita sanasana kama anataka kuwasaidia awasaidie kwenye chama siasa zake za kulipana fadhila ndio zimeifikisha Tanzania hapa ilipo
 
Ikulu anaenda kuomba maUDA yake yasamehewe kodi ya mapato. wakati watu tunaangaikia namna ya kui-R.I.P. CCM JK anaongelea kuisaidia CCM? Akaangaliwe kama yupo sawa.
 
Hata Marekani wanaotoa mchango mkubwa wa Ushindi kwenye kampeni hukumbukwa kwenye kuunda serikali.

Wewe unafikiri vita ya Propaganda kama siyo wale vijana kusimama kidete kwenye mitandao shaping ya opinion ingetawaliwa na nani?

JK ni muungwana sana, ndiyo maana anatambua michango ya watu waliokifikisha chama kushinda, anaona ni watu wanaofaa kukumbukwa.

Ifahamike, Serikali iloyoko madarakani inaongozwa na Magufuli lakini siyo ya Magufuli, Ni serikali ya CCM, Ilani ya Uchaguzi ya CCM , CCM ambayo mwenyekiti wake ni Jakaya Mrisho Kikwete.
Mzee naona wewe unachanganya madawa!!

Hao wanaosemwa na mwenyekiti wa chama siyo wapiga debe wa Lumumba akina Lizaboni, Ritz, Faiza and the likes ... inasemekana ni wale waliohakikisha kuwa matokeo yako sawasawa!!
 
Nilisha wai sema humu ndan na narudia tena tulikuwa na kiongz wa ovyo ambae hajawai tokea Dunian,
 
Naomba niseme sijamuelewa vizuri sana rais wetu mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mh. JK lakini kama haya ndiyo anayomaanisha basi ni vizuri akaanza kuona haya aka aibu. This is not the time. Please JK settle down.
Mara kadhaa amejaribu kumshawishi Rais "awakumbuke vijana waliokipigania CCM kwenye mitandao ya kijamii wakikesha nk nk" Je hii ina maana wateuliwe katika nafasi za juu kwenye serikalini au watafutiwe fedha za kifuta jasho? Kama hii ndiyo maana yako basi tunapaswa kukuombea maana una matatizo makubwa!

Kama nia yako ni kumwambia rais aliyepo madarakani awaone na kuwapa mkono wa pongezi na shukrani hiyo ni kazi yako wewe na wanachama wenzako katika chama lakini si majukumu ya msingi ya urais as an office/institution. Wananchi wa kawaida hata hatupaswi kujua.

Labda nikukumbushe mambo machache Mh. Mwenyekiti.

Mbinu zenu chafu (kupitia mtandao wenye umafia ndani yake) ndiyo chanzo cha Tanzania kukosa kiongozi bora wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005. Tungeweza kuwa na Magufuli wakati ule au hata Salim A. Salim na yeyote mwingine for that matter. Lakini wenye uwezo walikatishwa tamaa na kupitia ujanja ujanja sawa na aliojaribu rafiki yako Edo ukashinda kwa kishindo na wenye kufaa kihalisia wakapotezwa kiaina. Kumbuka gazeti la Rai dhidi ya Magufuli then!

Hukuwa na mpango wowote wa kuisaidia Tanzania kama nchi. Hata ukikataa leo rohoni unajua hukuwa na plan yoyote JK!

Wanamtandao mlitumia mbinu na fedha nyingi kupata madaraka lakini hamkuwa na moja la kuitoa nchi ilipokuwa imefikia. Mwenzio pamoja na machafu yake kapunguza madeni wewe na rafiki zako mkawa mnatumia tu!
Ulitarajia nini? Maisha yaboreke au familia yako ineemeke?

Ulikuja na "Baraza la Marafiki" sikumbuki idadi lakini 60 ilitajwa mara kwa mara. What exactly did you expect? Kuboresha maisha ya wanyonge waliokushabikia wakidhani utasaidia kwa kuwa na utitiri wa mawaziri?

Leo kaingia kiongozi mpenda wanyonge na mzalendo (zaidi yenu wanamtandao wote) unataka kumshawishi afuate nyayo zako mbovu ili kuwafurahisha nyie wachache? Ona aibu bosi! Huu siyo wakati. Nani asiyejua kwamba hakuwa chaguo lako kwanza. Kama Magufuli alikuwa chaguo lako tangu awali "Unpopular Membe" aliingiaje tano bora? Wacha zako hizo!

Magufuli akifuata ushauri wako kwa kuwakumbuka waliokipigania chama kwa njia mbalimbali katika kipindi kigumu hasa wakati rafiki yako kipenzi Edo akitishia hali (kwa tafsiri ya favours na vyeo) basi ni wazi yafuatayo lazima yatokee.

1. Ulaji mpya wa mali ya Umma hasa miongoni mwa wateule favour/shukrani "pigania chama".
2. Kudorora kwa vita dhidi ya rushwa. (Nani asiyejua baadhi ya wakwepa kodi ni wachangiaji katika kampeni zenu katika mtandao).
3. Kufa kwa juhudi za kupambana na biashara haramu ya madawa ya kulevya. (Wengine rafiki na familia zenu na mnajua).
4. Kuporomoka kwa mapato ya serikali kufuatia ukusanyaji mbaya wa kodi/ushuru na maduhuli ya serikali.

The list goes on and on!
Naomba nirudie tena "Bw. JK kama ushauri wako ni kumtaka rais apendelee watu waliomsaidia kushinda uchaguzi ni wazi umeishiwa na bora hata ukaona aibu na kung'atuka uwenyekiti mapema tu kuwapisha watu wanaoamini potential ya taifa letu katika kupata maendeleo.

Nakumbuka wewe uliamini tunaweza kuifikia Japan kwa msaada wa Marekani na Ulaya. Hahahaaaa!

Your time is over.
Kama umeondoka madarakani ukiwa unpopular sana ilikuwa choice yako mwenyewe! Huwezi ku-graduate Uchumi ukashindwa kujua dollarlization ya uchumi kwa nchi inayoimport takriban kila kitu kama Tanzania ni kutafuta mfumuko wa bei usio wa lazima!

Asante kwa kusoma!
Daaa, hongera sana kwa kumpa makavu , ingawa naamini hakuumbwa kuwa na aibu
 
Kwa fikra zako unadhani wewe waweza nifundisha mie jinsi serikali inavyofanya kazi? Jipange upya kijana.
Ndio naweza.
Kujificha nyuma ya keyboard na majina uchwara mkitukana na kulaumu watu ni kazi nyepesi sana kwenu kuliko kuongoza nchi
 
Back
Top Bottom