Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 4,684
- 3,396
aiseee!
ova🛃
ova🛃
Shaka mropokaji na kujipendekeza ndio wanasababisha hali ya sintofahamiana ccm. Kama wamebadili itikadi na sera za ccm baada ya kuaga dunia magufuli watuambie kikao gani kinahusika. Wanachama wenye kukijua chama wanasimamia falsafa ya kimapinduzi ujamaa. Sasa hawa wenye kujaribu kuuza kwa mara ya pili mashirika muhimili wa uchumi kama tanesco wametoka wapi na nani anawaleta. Mashirika kama tanesco ttcl trc atc uda/udart kwanza hayauziki kwani waliyowahi kujidai kununua walitaka kuyaiba tu bila kulipa thamani yake. Huwezi fanya biashara kwa faida bila kukwaza maendeleo kwa kugeuza huduma ya mashirika haya biashara kabisa. Magufuli amefanya kazi kubwa kuyarejesha hayo mashirika na kuhakikisha yanaendeshwa kwa tija sasa wajanja wamekuja wanajifanya hawaoni ufanisi wanataka kufanya wizi kwa mara nyingine.Mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais wa JMT mh Samia leo ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Chamwino nje kidogo ya jiji la Dodoma.
Je, askofu Gwajima na Komredi Polepole na yule wakili msomi Jerry Slaa wamepona?
Tusubiri taarifa rasmi ya mwenezi komredi Shaka.
Nilivyosikia ile sauti yake kwenye ile clip nilishangaa sana, nikasema kumbe ni rahisi mtu kujiingiza mwenyewe nyavuni.......nahisi alikuwa anatumika na watu waliomo kwenye security system hapa nchini.....Duuh yule jamaa japo kuna kipindi alikuwa anasanua mambo ya kweli lakini kwa upande mwingine ni jitu la hovyo sana
Baada ya kifo cha Naibu Waziri ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Mhe. William Ole Nasha, moshi mweupe unaenda kutoka tena ikulu kwa staili ile ile ya "yure mupe, yure muruke"Mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais wa JMT mh Samia leo ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Chamwino nje kidogo ya jiji la Dodoma.
Je, askofu Gwajima na Komredi Polepole na yule wakili msomi Jerry Slaa wamepona?
Tusubiri taarifa rasmi ya mwenezi komredi Shaka.
Aliunga juhudiHivi kigogo alikufa? taarifa kama hizi pamoja na kilichoendelea sirini tungekuwa tumeshazinyaka zamani.
Njia ipi ?Wakimfukuza watamtengenezea njia kisiasa
Wapwa wanajipigiaaa..Amepoa baada ya kupata uteuzi.
Mbowe sio gaidiMwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais wa JMT mh Samia leo ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Chamwino nje kidogo ya jiji la Dodoma.
Je, askofu Gwajima na Komredi Polepole na yule wakili msomi Jerry Slaa wamepona?
Tusubiri taarifa rasmi ya mwenezi komredi Shaka.
Mm wadeal na gwaji boy nna hasira nae mno. Mshenz sana. Wampige spanaMtu anashindana na taasisi....taasisi yenyewe ni CCM....Khaaa
Ukweli una kawaida ya KUPANDA NGAZI ....MDOGOMDOGO......
#SiempreCCM
#NchiKwanza
Kuendelea kuwaamini ccm kwa sasa ni sawa na kumwamini Daktari mfanyabiashara wa majeneza akutibu.Wacha wafu wazikane. Kufukuzwa kwa Gwajima na Polepole hakutafanya maisha yawe mepesi kwa Mtanzania wa hali ya chini. Ikiwa tozo na mifumuko ya bei ipo pale pale, tofauti pekee tutakayoiona ni aidha CCM kuondoka madarakani ama kupata katiba mpya.
Mpaka hilo litokee hata wakimfukuza Samia mwenyewe sawa tu.
Hakuwa na lolote la maana watanzania wengi wajinga wajinga tuDuuh yule jamaa japo kuna kipindi alikuwa anasanua mambo ya kweli lakini kwa upande mwingine ni jitu la hovyo sana
Jamaa siku hizi hana jipya. Anaonekana kituko tuWapwa wanajipigiaaa..
Lissu alimmalizaaa, martin alaja ongezea nyundo. From there kila mtu anampitia tu
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
SILAHAA kweli Lumumba kuna watuZa silini ninkwamba polepole na Gwajima wamefukuzwa uanachamana ..wakati silahaa...
Hakuna wa kumzidi nguvu mwenyekiti wa CCM....hayupo.....Gwajima na Humphrey Polepole ni maspika TU, wenye mic zao wako chumbani wanaliendeleza libeneke, Mama Ana wakati mgumu
ukoo wenu mzima hata mkazikiri uchi hamtakuja kuzaa brain kama Lissu... najua utatukana but the truth stands upright!Jamaa siku hizi hana jipya. Anaonekana kituko tu
Mkuu mbona kama umekosea ku quote? Hebu rudia tena kusoma kwanzia mwanzo.ukoo wenu mzima hata mkazikiri uchi hamtakuja kuzaa brain kama Lissu... najua utatukana but the truth stands upright!