OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,244
- 103,937
Mwenyekiti wa CCM Rais Magufuli, ameonekana kukiuka agizo la Rais Magufuli la kukataza kufanya siasa majukwaani.Imeripotiwa kuwa rais anategemea kufanya mkutano mkubwa wa kisiasa mjini Kahama kuwashukuru wananzengo kwa kumchagua kwa kura nyingi!!Aidha ikumbukwe kuwa wabunge wawili wa UKAWA walishikiliwa na polisi kwa kufanya mikutano ya hadhara....Mungu ibariki UKUTA,Mungu ibariki UKAWA
MY TAKE
Kwa kuwa ni mkutano wa kisiasa kinyume na katazo la Rais Magufuli, hakuna haja sasa ya BAVICHA na UKUTA kusaidia polisi kuhakikisha agizo la Rais linatekelezwa? Polisi wa Mara iliwashikilia wabunge wa UKAWA Mara kwa kufanya mkutano. Polisi wa Shinyanga/Kahama toeni tamko mapema. BAVICHA toeni tamko la kusaidia polisi
Huu ni Mkutano wa Kisiasa kwa sababu kuwashukuru wananchi kumchagua kuwa Rais chini ya CCM, ni siasa. Hiyo ni kinyume na agizo lake la kutokufanya siasa mpaka 2020 akisaidiwa na policcm. Huku kunaitwa kukurupuka na kujichanganya.
Basi na Wapinzani nao wafanye Mikutano ya hadhara kuwashukuru wananchi kuwachagua kuwa Wabunge na Madiwani na kumpa Mgombea Urais kura milioni 6 ambazo ni nyingi zaidi ya alizopata Kikwete 2010.
JPM baba vipi, mbona unajikanganya?
MY TAKE
Kwa kuwa ni mkutano wa kisiasa kinyume na katazo la Rais Magufuli, hakuna haja sasa ya BAVICHA na UKUTA kusaidia polisi kuhakikisha agizo la Rais linatekelezwa? Polisi wa Mara iliwashikilia wabunge wa UKAWA Mara kwa kufanya mkutano. Polisi wa Shinyanga/Kahama toeni tamko mapema. BAVICHA toeni tamko la kusaidia polisi