Mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa aimwagia sifa CHADEMA:

Nilimfahamu Emmanuel Makaidi wakati ule (1993) tukijaribu kuhamasisha Wananchi wajiunge na vyama vyetu vipya: yeye akiongoza NLD na mimi CHADEMA. Namshukuru kwamba sasa ameona umahiri wa vijana walioridhi mikoba yetu.

Kabla sijataafu kama Mwenyekiti nilijaribu kukaribisha waliokuwa na misimamo iliyofanana fanana na yetu ili tuimarishe upinzani dhidi CCM, hata tukafikia kuunda "UDETA" (Umoja wa Demokrasia Tanzania), lakini wahasimu wetu wakatu-derail. Ni furaha ilioje kwangu kwamba hivi karibuni Mabere Marando ametuunga mkono, na namkaribisha Emmanuel Makaidi afikirie uwezekano wa kuimarisha chama cha wazalendo wanaojali kwa dhati maslahi ya taifa lao na watu wake.

Demokrasia na maendeleo ya kweli yatapatikana Tanzania tukiweza kuondoa ukiritimba wa CCM ktk uongozi wa nchi hii; na inaonekana sasa itawezekana hasa kama Mheshimiwa Makaidi na wafuasi wake watajiunga nasi pia.

Shikamoo Mzee,

Je unazungumziaje urudishwaji wa nyumba za serikali?
Naomba maoni yako.
 
Frontliners,

No retreat No Surrender.

Hakuna kulegeza Kamba, Mbele kwa Mbele toka Kaliua hadi Uvinza.

Nyoka hubakia yule yule na sumu yake hata akivua magamba

Peoples.......Power.
 
Kuna watu wanadai hiki chama ni mali ya mtu fulani, lakini mara zote nimekuwa na nguvu zakukataa....

Your autobiography was amazing, kudos
Umetumwa na nani? Maana umejiunga juzi tu na magamba yako lakini keherehere utadhani wewe nimdau wa siku nyingi ebu kanawe uso kwanza. pumbavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tutakachofanya ki kubadilisha lugha tu, kutoka kiingereza kwenda kiswahili lakini vifungu vyote vitabaki vile vile, na hili tulilijua toka mwanzo na hatukufanya bahati mbaya kuuweka kwa kiingereza.

hivi wewe ni raia wa nchi gani? hujui katiba nzuri itakuwa ya kwako? hata wakati wa ukoloni kuna watu walikuwa wanashangilia kuendelea kutawaliwa hivyo sishangai watu wenye mawazo kama ya kwako
 
Umetumwa na nani? Maana umejiunga juzi tu na magamba yako lakini keherehere utadhani wewe nimdau wa siku nyingi ebu kanawe uso kwanza. pumbavu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Harakati zimeanza toka nyenzi.com, kabla jambo.com haijawa jamii.com na bado libeneke linaendelezwa.

Wewe ndiyo unaibuka 2011, pole
 
Mwenyekiti wa baraza la vyama vyote vya siasa nchini Bwana Emmanuel Makaidi ameimwagia sifa kibao CHADEMA kwa kile alichodai ni mapambano yake ya kuondoa mswada wa katiba uliowasilishwa bubgeni.Makaidi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha NLD Taifa amelieleza gazeti la Nipashe kwamba vita ya CHADEMA ndiyo iliyofanikisha serikali kusalimu amri.Akisema amevutiwa na viongozi wa CDM kwa jinsi wanavyoendesha mapambano ndani na nje ya bunge.Makaidi ambaye ametoka kwenye ziara ya chama chake mikoa ya kusini amedai kwamba kwa utafiti wake aliofanya amebaini asilia 80 ya wananchi ni wafuasi wa CHADEMA.Amedai anaamini ufuasi wa wananchi kwa chama hicho si kingine ila harakati zao zinazoonekana kuungwa mkono na watanzania wengi.
Bwana Makaidi amesema hajatumwa na mtu yeyote kusema hayo ila ukweli usemwe hata kama ni mchungu kwani ndicho alichoshuhudia mikoani.

SOURCE:SOMA NIPASHE LA LEO UKURASA WA NDANI

Ndio maana habari yake iko ukurasa wa ndani (kudhihirisha isivyo muhimu).Hakuwahi kusema zuri kwa CCM toka 2005 alipo pata 0.19% (21,...) ya watanzania waliopiga kura.Hana jipya na kama anaona CDM kuzuri kwanini anaongeza utitiri wa vyama (NLD) wakati kuna hicho kinakidhi mahitaji yake.Upupu + Pumba=Makaidi
 
Harakati zimeanza toka nyenzi.com, kabla jambo.com haijawa jamii.com na bado libeneke linaendelezwa.

Wewe ndiyo unaibuka 2011, pole
Kama ni hivyo basi wewe ni mzito wa kuelewa pamoja nakutumia miaka mingi kwenye mijadala hii bado huna hoja zenye mvuto heri yangu!!!!
 
Ndio maana habari yake iko ukurasa wa ndani (kudhihirisha isivyo muhimu).Hakuwahi kusema zuri kwa CCM toka 2005 alipo pata 0.19% (21,...) ya watanzania waliopiga kura.Hana jipya na kama anaona CDM kuzuri kwanini anaongeza utitiri wa vyama (NLD) wakati kuna hicho kinakidhi mahitaji yake.Upupu + Pumba=Makaidi

Hawa jamaa hawajashtuka bado, anachofanya ni kutafuta imani kwa CDM ili aonekane anasupport idea zao, lakini baadaye akigeuka na kuwa muwazi CDM lazima wamchachafye kwa kejeli na vitu kama hivyo...subiri utaona...wamesahau aliwaambia nini sept 2010.
 
Nilimfahamu Emmanuel Makaidi wakati ule (1993) tukijaribu kuhamasisha Wananchi wajiunge na vyama vyetu vipya: yeye akiongoza NLD na mimi CHADEMA. Namshukuru kwamba sasa ameona umahiri wa vijana walioridhi mikoba yetu.

Kabla sijataafu kama Mwenyekiti nilijaribu kukaribisha waliokuwa na misimamo iliyofanana fanana na yetu ili tuimarishe upinzani dhidi CCM, hata tukafikia kuunda "UDETA" (Umoja wa Demokrasia Tanzania), lakini wahasimu wetu wakatu-derail. Ni furaha ilioje kwangu kwamba hivi karibuni Mabere Marando ametuunga mkono, na namkaribisha Emmanuel Makaidi afikirie uwezekano wa kuimarisha chama cha wazalendo wanaojali kwa dhati maslahi ya taifa lao na watu wake.

Demokrasia na maendeleo ya kweli yatapatikana Tanzania tukiweza kuondoa ukiritimba wa CCM ktk uongozi wa nchi hii; na inaonekana sasa itawezekana hasa kama Mheshimiwa Makaidi na wafuasi wake watajiunga nasi pia.

Mzee wetu Edwin Mtei...mimi ni mwanaume, baba wa familia na ni msomi mzuri ninayeaminiwa ndani na nje ya nchi. Nimeshindwa kujizuia machozi kunitoka mara baada ya kusoma salamu zako hizi! ni machozi ya furaha kwa ajili ya Tanzania mpya..nio machozi ya furaha kuona kuwa hata wewe bado una uwezo wa kuingia na kutoa changamoto katyika jamiiforum......ninatoa machozi kwa kuwa sasa nina uhakika kuwa kile ulichiokianzisha na wengi wasiikielewe kimetoa matumaini mapya kwa nchi yetu.....nina uhakika sasa kuwa watoto wangu na wajukuu wangu hawatageuka watumwa ndani ya nchi yao...japo kizazi hiki cha kwetu hakitakuwepo tena duniani......mimi binafsi niliamua kujitoa mhanga na kujiunga na Chadema mara baada ya kuisha uchaguzi wa mwaka jana...nilifanya hivyo baada ya kuona kuwa kuna juhudi za kuua upinzani ambao kwa kweli umetufanyia mengi Tanzania....ninajua kabisa kwa kufanya hivi, nimetengana na heshima na ukuu ambao nuinaustahili...lakini ni bora kufanya hivyo kwa muda na baadae kufurahia Tanzania mpya!!

Mungu akujalie maisha marefu na uweze kuiona Tanzania mpya, baba yetu Edwin Mtei!!!
 
Ndio maana habari yake iko ukurasa wa ndani (kudhihirisha isivyo muhimu).Hakuwahi kusema zuri kwa CCM toka 2005 alipo pata 0.19% (21,...) ya watanzania waliopiga kura.Hana jipya na kama anaona CDM kuzuri kwanini anaongeza utitiri wa vyama (NLD) wakati kuna hicho kinakidhi mahitaji yake.Upupu + Pumba=Makaidi
Wewe habari yako yenye umuhimu imechapishwa wapi? na ni gazeti gani limechapisha? uozo mtupu!!!!!!
 
Asante mzee kwa kufanya kama tulivyokubaliana, uzuri ni kwamba kati ya hiyo asilimia 80 waliojiandisha kwenye daftari ya kudumu la wapiga kura ni asilimia 4 TU, na wanaopiga kura ni chini ya asilimia 2.

gamba jipya tafiti zako umetoa wapi ndo maana tunawaita mazuzu nyie..... mwenzako amonesha from nipashe and you?????

au ndo propaganda za kizuzu hizo???
 
wewe habari yako yenye umuhimu imechapishwa wapi? Na ni gazeti gani limechapisha? Uozo mtupu!!!!!!

hahahahaha ccm!!! Waliposema dawa ya moto ni moto walijua watu wa kukariri kama wewe wapo!!! Mbaneingoma umelewa!!!!!!

Hapa ndio utaona tofauti ya kina kingwagala na hawa wauza maduka wavaa t shirt na kofia waliopewa modem na airtime na msekwa!!!! Tehetehetehe!!
 
Nilitegemea baada ya kumaliza kupiga porojo angeenda 1 kwa 1 kinondoni kuchukua kadi ya Chadema na kujiunga nacho, kumbe alikuwa anachangamsha genge!?
 
Nilimfahamu Emmanuel Makaidi wakati ule (1993) tukijaribu kuhamasisha Wananchi wajiunge na vyama vyetu vipya: yeye akiongoza NLD na mimi CHADEMA. Namshukuru kwamba sasa ameona umahiri wa vijana walioridhi mikoba yetu.

Kabla sijataafu kama Mwenyekiti nilijaribu kukaribisha waliokuwa na misimamo iliyofanana fanana na yetu ili tuimarishe upinzani dhidi CCM, hata tukafikia kuunda "UDETA" (Umoja wa Demokrasia Tanzania), lakini wahasimu wetu wakatu-derail. Ni furaha ilioje kwangu kwamba hivi karibuni Mabere Marando ametuunga mkono, na namkaribisha Emmanuel Makaidi afikirie uwezekano wa kuimarisha chama cha wazalendo wanaojali kwa dhati maslahi ya taifa lao na watu wake.

Demokrasia na maendeleo ya kweli yatapatikana Tanzania tukiweza kuondoa ukiritimba wa CCM ktk uongozi wa nchi hii; na inaonekana sasa itawezekana hasa kama Mheshimiwa Makaidi na wafuasi wake watajiunga nasi pia.

Mzee Mtei hongera kwa kazi nzuri. tuko pamoja
 
Tutakachofanya ki kubadilisha lugha tu, kutoka kiingereza kwenda kiswahili lakini vifungu vyote vitabaki vile vile, na hili tulilijua toka mwanzo na hatukufanya bahati mbaya kuuweka kwa kiingereza.
Wewe Gamba Jipya nadhani unaleta viroja.sisi ni waelewa zaid ya ccm kwani nyie ni vilaza.wengi wenu ni kutegemea waganga wa jadi kama maji marefu.
 
ni jambo zuri kwa watu kukubali matokeo kwa yale mazuri yanayofanywa na chadema safi sana na tutazidi kupambana mpka taifa letu liende sawa
 
ITV KIPIMA JOTO leo!jee ccm kujivua gamba kumeleta imani mpya kwa wananchi?86% wamesema hawana imani na CCM tena!
 
Back
Top Bottom