Mwenyekiti wa baraza la vyama vyote vya siasa nchini Bwana Emmanuel Makaidi ameimwagia sifa kibao CHADEMA kwa kile alichodai ni mapambano yake ya kuondoa mswada wa katiba uliowasilishwa bubgeni.
Makaidi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha NLD Taifa amelieleza gazeti la Nipashe kwamba vita ya CHADEMA ndiyo iliyofanikisha serikali kusalimu amri.
Alisema amevutiwa na viongozi wa CDM kwa jinsi wanavyoendesha mapambano ndani na nje ya bunge.
Makaidi ambaye ametoka kwenye ziara ya chama chake mikoa ya kusini amedai kwamba kwa utafiti wake aliofanya amebaini asilia 80 ya wananchi ni wafuasi wa CHADEMA.
Amedai anaamini ufuasi wa wananchi kwa chama hicho si kingine ila harakati zao zinazoonekana kuungwa mkono na watanzania wengi.
Bwana Makaidi amesema hajatumwa na mtu yeyote kusema hayo ila ukweli usemwe hata kama ni mchungu kwani ndicho alichoshuhudia mikoani.
SOURCE:SOMA NIPASHE LA LEO UKURASA WA NDANI
Makaidi ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha NLD Taifa amelieleza gazeti la Nipashe kwamba vita ya CHADEMA ndiyo iliyofanikisha serikali kusalimu amri.
Alisema amevutiwa na viongozi wa CDM kwa jinsi wanavyoendesha mapambano ndani na nje ya bunge.
Makaidi ambaye ametoka kwenye ziara ya chama chake mikoa ya kusini amedai kwamba kwa utafiti wake aliofanya amebaini asilia 80 ya wananchi ni wafuasi wa CHADEMA.
Amedai anaamini ufuasi wa wananchi kwa chama hicho si kingine ila harakati zao zinazoonekana kuungwa mkono na watanzania wengi.
Bwana Makaidi amesema hajatumwa na mtu yeyote kusema hayo ila ukweli usemwe hata kama ni mchungu kwani ndicho alichoshuhudia mikoani.
SOURCE:SOMA NIPASHE LA LEO UKURASA WA NDANI