Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi!

Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi!

Jamaa ana hoja. Msome kwa makini.
Hapana hoja apo, ni ubaguzi tu. Kuna kipengele chochote cha katiba ya cuf kinasema kua kinakubaliana na muarabu au kinasema kua kitamrudisha mwarabu endapo kitachukua nchi?
 
Raisi wa Zanzibar pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi yaliyotokea huko Zanzibar miaka ya 60' , sasa kwa wale mnaotaka nusu Mwarabu Seifu wa CUF awe raisi wa Zanzibar, Je vipi kuhusu hicho cheo? Na yeye ataitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?
Zwazwa katika ubora wako..sasa Kama ameshinda basi asiwe rais kwa kisa hicho cha mwenyekiti wa baraza la mapinduzi???
 
Kwa hiyo Maalim Seif aligombea kama mwarabu aliyepinduliwa mwaka 1964??
Toa pumba zako.
Zanzibar ina only wazanzibari full stop.
Huwezi kuwagawa wazanzibari kwa hizo pumba zako kwa kuwatenganisha kuwa kuna waarabu, wahindi, wazungu, waafrika,wachina na wengineo.
 
Raisi wa Zanzibar pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi yaliyotokea huko Zanzibar miaka ya 60' , sasa kwa wale mnaotaka nusu Mwarabu Seifu wa CUF awe raisi wa Zanzibar, Je vipi kuhusu hicho cheo? Na yeye ataitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?
Ndiyo!
 
Raisi wa Zanzibar pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi yaliyotokea huko Zanzibar miaka ya 60' , sasa kwa wale mnaotaka nusu Mwarabu Seifu wa CUF awe raisi wa Zanzibar, Je vipi kuhusu hicho cheo? Na yeye ataitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?
As far as Maalim Seif ni pure mzanzibari, kwa hiyo ana qualifications zote za kuwa Rais wa Zanzibar and the same time kuwa huo uenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.
 

Swali langu ni kwamba, Seifu ataitwa pia Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?
Pia zwazwa wa Lumumba uwe unasoma katiba..nenda kasome katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ibara ya 103(1) utakuta jibu la utumbo wako uliouliza..
 
Tunamshambulia mleta mada kwa ubaguzi bila kujua background ya nchi yetu.

Zanzibar, Tanganyika na Tanzania zote bendera zao zina rangi nyeusi, nyeusi ikimaanisha nchi hii ni ya watu weusi!
 
Tunamshambulia mleta mada kwa ubaguzi bila kujua background ya nchi yetu.

Zanzibar, Tanganyika na Tanzania zote bendera zao zina rangi nyeusi, nyeusi ikimaanisha nchi hii ni ya watu weusi!
Toa pumba zako hizo.
Unataka kutuambia kuwa wale wote ambao siyo weusi waliopata nafasi za ubunge au uwakilishi, wanapaswa kuvuliwa nyadhifa zao hizo kutokana na wao kutokuwa watu weusi?!
 
Last edited:
Raisi wa Zanzibar pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi yaliyotokea huko Zanzibar miaka ya 60' , sasa kwa wale mnaotaka nusu Mwarabu Seifu wa CUF awe raisi wa Zanzibar, Je vipi kuhusu hicho cheo? Na yeye ataitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?

Sasa uchaguzi ni wa nini kama hicho cheo kiko reserved for a certain group of people! ?
 
Sasa uchaguzi ni wa nini kama hicho cheo kiko reserved for a certain group of people! ?

Hata maana ya haya maneno haufahamu unaposema ,,certain group of people" unamaanisha nini? Iweje mtu mweusi mwenye asili ya Afrika ndani ya Afrika awe ,,certain group of people"?
 
Kwanza hujui kitu waliopinduliwa kiserekali sio waarabu zanzibar ilishapata uhuru wake kabla ya hiyo tar 12/1/64 .kilichofanyika ni mauaji (genocide crime )kama vile ya ruanda tu .kitu ambacho unaonekana unakifurahia sana .sijui wewe ni dini gani?mungu hajahalalisha kuua watu kwa ajili ya utawala wa kidunia .unaonesha ni kama wale ccm zanz wanaipenda sana ardhi kuliko haki.ardhi hii itakwenda kuwabana muda si mrefu .tafakari angalau kidogo upande mwengine wa hii dunia


Yale ni Mapinduzi yaliyotoa Utawala wa Mwarabu na kuweka Utawala wetu na Dunia nzima inayatambua kama Mapinduzi ya Zanzibar hata UN inayatambua, na ni kweli watu waliuliwa lkn siyo genocide!

Hivyo swali linabakia kuwa Mwarabu anastahili kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?
 
Mkuu Barbarosa hivi unafikiria kweli? Kwenye hii dunia ya leo!!!! $$tu.....d.
 
Kwanza zanzibar ni koloni la tanganyika bado haijapata uhuru .huko UN unakosema kiti chenu kiko wapi na bendera yenu iko wapi?.uhuru huna wewe rabla uhuru wa kuendesha vespa ndio walionao wazanzibari .wewe ukishapata vespa basi ushajiona unauhuru
 
Ndio siasa wanazofundishwa Lumumba na hapo Ccm Mkoa Amani znz.
Chuki na fitna hakuna jengine wanalofunzwa hao. Waznz wengi wana Asili ya Uarabu sasa kuna kosa gani Maalim kuwa Rais? Na hayo Mapinduzi yametokea na sio km yapo mpaka leo, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ni Cheo kipo Kikatiba hatuwezi kukiepuka, kwani Cuf sio watu wa kuvunja katiba km mulivyozoea nyinyi watu wa Lumumba na Amani Mkoa.
 
Hebu nieleze baada ya kumuondoa muarabu zanzibar unasema muliweka utawala wenu (soverenty state ) hebu tafakrar kwa makini ni kweli hilo lipo?
 
Raisi wa Zanzibar pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi yaliyotokea huko Zanzibar miaka ya 60' , sasa kwa wale mnaotaka nusu Mwarabu Seifu wa CUF awe raisi wa Zanzibar, Je vipi kuhusu hicho cheo? Na yeye ataitwa Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi?



Bila shaka wewe utakuwa ni chakula cha wakubwa kwa akili hizo.
 
Toa pumba zako hizo.
Unataka kutuambia kuwa wale wote ambao siyo weusi waliopata nafasi za ubunge au uwakilishi, wanapaswa kuvuliwa nyadhifa zao hizo kutokana na wao kutokuwa watu weusi?!
bendera za Tanganyika, Zanzibar, Tanzania zina rangi nyeusi.

Kwa nini?
 
Back
Top Bottom