Mwenyekiti wa ACT- Wazalendo, Maalim Seif kuzungumza na vyombo vya habari kesho

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
May 5, 2014
610
1,540
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kesho Oktoba 20, 2020 atazungumza na vyombo vya habari kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea nchini.

Wapi: Ukumbi wa Ramada Hotel, jirani na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Posta Mpya, Dar es Salaam.

Muda: Mkutano huo utafanyika saa 4:00 asubuhi

Baada ya mkutano huo, Maalim Seif ambaye pia ni mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Zanzibar atahutubia mkutano wa hadhara Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Barafu Mburahati, Ubungo.

Aidha Maalim Seif atatumia mkutano huo kuwanadi wagombea ubunge na udiwani wote wa ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam.

Waandishi wa habari kama wadau muhimu mnakaribishwa katika matukio hayo.

Imetolewa na:

Janeth Joel Rithe

Naibu/Katibu wa Uenezi, Habari na Mahusiano ya Umma

Leo Oktoba 19/10/2020

 

Attachments

  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.pdf
    99.6 KB · Views: 7
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad kesho Oktoba 20, 2020 atazungumza na vyombo vya habari kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea nchini.

Wapi: Ukumbi wa Ramada Hotel, jirani na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Posta Mpya, Dar es Salaam.

Muda: Mkutano huo utafanyika saa 4:00 asubuhi

Baada ya mkutano huo, Maalim Seif ambaye pia ni mgombea Urais wa ACT-Wazalendo Zanzibar atahutubia mkutano wa hadhara Jijini Dar es Salaam katika Uwanja wa Barafu Mburahati, Ubungo.

Aidha Maalim Seif atatumia mkutano huo kuwanadi wagombea ubunge na udiwani wote wa ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam.

Waandishi wa habari kama wadau muhimu mnakaribishwa katika matukio hayo.

Imetolewa na:

Janeth Joel Rithe

Naibu/Katibu wa Uenezi, Habari na Mahusiano ya Umma

Leo Oktoba 19/10/2020
Na imani na Maalimu na suala la Membe litatolewa ufafanuzi
 
Yaani hawa wagombea wawili akili zao ziko juu sana. Lissu kafungiwa kampeni na NECCM kanadilisha style ya kampeni katembelea masoko na mikutano ya ndani.
Maalim kafungiwa na ZECCM kaja bara kaibukia mikutano ya CHADEMA anaunguruma hadi Zenj wanasikia.
CCM inapigwa kotekote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom