Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Faris Buruhani amewaasa Viongozi wa Jumuiya ya Vijana ngazi zote ndani ya mkoa wa Kagera kufanya kazi kwa bidii ili kuzitendea haki nafasi walizonazo kwenye maeneo yao, huku akisisitiza kwamba hiyo ndiyo njia pekee ya kulinda imani waliyopewa na vijana waliowachagua kwenye nafasi hizo.
Ndugu Faris Buruhani ameyaeleza hayo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Muleba ambaoni viongozi wanne kutoka katika kata 43 zinazounda wilaya ya Muleba.
Faris amesisitiza kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia yatusaidie kuonyesha ni nini tunafanya, lini tunafanya na tunafanyia wapi, kwani siasa ni kazi ya kuwahudumia watu sio mchezo wa jando na unyago kwamba tunafanya kwa kujificha.
Ndugu Faris Buruhani ameyaeleza hayo alipokuwa akizungumza na wajumbe wa Baraza la Umoja wa Vijana wa CCM wilaya ya Muleba ambaoni viongozi wanne kutoka katika kata 43 zinazounda wilaya ya Muleba.
Faris amesisitiza kwamba maendeleo ya sayansi na teknolojia yatusaidie kuonyesha ni nini tunafanya, lini tunafanya na tunafanyia wapi, kwani siasa ni kazi ya kuwahudumia watu sio mchezo wa jando na unyago kwamba tunafanya kwa kujificha.