GE2025 Mwenyekiti INEC: Si kweli kwamba wananchi hawaiamini tume ya uchaguzi

GE2025 Mwenyekiti INEC: Si kweli kwamba wananchi hawaiamini tume ya uchaguzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
1754126124456.png
Chanzo Bongo FM
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Chanzo Bongo FM
Huyu kada wa CCM anadanganya umma, Tume hii haiaminiki, tume imeundwa na makada wa CCM....Siri gani anaficha huyu fala? Hamkubaliki, uandikishaji umefanywa wa uongo, wameongezwa watu wapatao mil.3 kwenye uandikishaji....Hao wametoka wapi wewe chawa? Huna quality ya kuwa kiongozi wa NEC, wala hiyo siyo INEC, wewe na Kailima wote ni makada wa CCM, Ebu bisha? Uandikishaji wa watu 37.5 Mil ni feki, kwanza hakuna idadi hiyo, hata kama wamejiandikisha wote Tanzania nzima kwa nguvu, .......hakuna......HAKUNA IDADI HIYO......hata kama mmeandikisha watoto wadogo, haiwezekani TANZANIA tukaandikishwa wote. Family yangu ya watu 20 HAKUNA HATA MMOJA KAJIANDIKISHA......rafiki zangu hata mmoja hajajiandikisha! Sisi tunakaa na watu mitaani, kwa taarifa yako wewe pumba, sijaona aliyejiandikisha hadi sasa........Waliojiandikisha labda MARUHANI. Mmeapa lakini waongo na huyo rais wenu.
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Chanzo Bongo FM
Hatuna Imani na tume hii haramu ya uchaguzi
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baweaadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Chanzo Bongo FM
Aweke poll page watanzania tupige kura apate jibu sahihi maana hapo anajibu tuu kama anakunywa togwa
 
Huyu kada wa CCM anadanganya umma, Tume hii haiaminiki, tume imeundwa na makada wa CCM....Siri gani anaficha huyu fala? Hamkubaliki, uandikishaji umefanywa wa uongo, wameongezwa watu wapatao mil.3 kwenye uandikishaji....Hao wametoka wapi wewe chawa? Huna quality ya kuwa kiongozi wa NEC, wala hiyo siyo INEC, wewe na Kailima wote ni makada wa CCM, Ebu bisha? Uandikishaji wa watu 37.5 Mil ni feki, kwanza hakuna idadi hiyo, hata kama wamejiandikisha wote Tanzania nzima kwa nguvu, .......hakuna......HAKUNA IDADI HIYO......hata kama mmeandikisha watoto wadogo, haiwezekani TANZANIA tukaandikishwa wote. Family yangu ya watu 20 HAKUNA HATA MMOJA KAJIANDIKISHA......rafiki zangu hata mmoja hajajiandikisha! Sisi tunakaa na watu mitaani, kwa taarifa yako wewe pumba, sijaona aliyejiandikisha hadi sasa........Waliojiandikisha labda MARUHANI. Mmeapa lakini waongo na huyo rais wenu.

Ulitaka kusikia nini kutoka kwake boss?

Aseme vyama havijaridhika ilihali ni chama kimoja tu ndo kimesema hakijaridhika?

Au unataka ajitoe kafara kuvisemea vyama ambavyo vinasema vimeridhika katika mazingira ambayo havipaswi kuridhika?

Kuhusu takwimu ulitegemea afanye nini? Apingane na ripoti alizopatiwa za waliojiandikisha ili ashtakiwe kwa uchochezi na kusema uongo?
 
Ulitaka kusikia nini kutoka kwake boss?

Aseme vyama havijaridhika ilihali ni chama kimoja tu ndo kimesema hakijaridhika?

Au unataka ajitoe kafara kuvisemea vyama ambavyo vinasema vimeridhika katika mazingira ambayo havipaswi kuridhika?

Kuhusu takwimu ulitegemea afanye nini? Apingane na ripoti alizopatiwa za waliojiandikisha ili ashtakiwe kwa uchochezi na kusema uongo?
Hujatumia akili kwenye kujibu wewe, Hata kama ameletewa ripoti anapaswa kujiridhisha siyo kutoa data ambazo hata mtoto wa darasa la nne anaona hiyo siyo kweli, ......Kuna data kutoka NBS, kuna census iliyofanyika mwaka jana, idadi kila mtu anajua, imenyambulisha kwa age group. Huhitaji dakika 10 kuona number zimekuwa inflated. Usitetee uovu ili ku-justify uongo. Hizo namba alizotoa kulinganisha na census na takwimu za NBS hazilingani, kuna ongezeko la watu/watoto ambao hawajatimiza umri wa kupiga kura zaidi kidogo ya Millioni 3........Hao wametoka wapi?????? Hata kama kuna assumption kuwa kila mtu ameandikishwa including me and my family and friends, kitu ambacho siyo kweli. Nenda na fact wewe.
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Chanzo Bongo FM
Mwenyekiti alikuwepo kwenye jopo la Majaji wa Mahakama ya Rufani waliotengua Maamuzi ya Mahakama kuu kuhusu wakurugenzi makada wa CCM kusimamia uchaguzi.

Kwa Jaji Mwambelege kada wa CCM akila kiapo tu anakuwa amejitoa uanachama wake na kuwa mtu asiye na mgongano wa masilahi.
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo,
Duh,
Mwenye CV ya huyo CHAWA angetuwekea hapa ili tujue tunajadili mjinga wa kiwango gani.

Anataka umma ufanye nini ili ajue kuwa hiyo iNEC haaminiki kabisa??
 
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Jacobs Mwambegele, amepinga madai kuwa wananchi na vyama vya siasa hawana imani na tume hiyo, akisisitiza kuwa wadau wote muhimu wanashirikishwa kikamilifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025.

Akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu madai kuwa vyama vya upinzani vimepoteza imani kwa INEC na namna wanavyojipanga kurejesha uaminifu huo, Mwambegele amesema hoja hiyo haina msingi.

“Sikubali kabisa kwamba wananchi wala vyama vya siasa hawana imani na Tume. Hapa tunashirikisha wadau, wananchi na vyombo vya habari. Tarehe 27 Julai tulianza na vyama vya siasa isipokuwa chama kimoja, na kila mchangiaji alianza kwa kushukuru kazi inayofanywa na Tume,” amesema Mwambegele.

Ameongeza kuwa amekutana na viongozi wa vyama hivyo na wamekubali kazi ya Tume, ingawa anakiri kuwa wapo wanaoweza kuonesha kutoridhika na baadhi ya mambo.

“Kuchukua idadi hiyo ndogo na kuonesha kana kwamba Tume haikubaliki si kweli. Yawezekana wanaosema hivyo ni kwa kutoelewa Sheria au Kanuni, au kutofanya tafiti,” amesisitiza.

Kauli hiyo ameitoa leo Agosti 2 katika Mkutano wa Kitaifa wa INEC na waandishi wa habari kuhusu Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 unaofanyika katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Chanzo Bongo FM
Empty head
 
Hujatumia akili kwenye kujibu wewe, Hata kama ameletewa ripoti anapaswa kujiridhisha siyo kutoa data ambazo hata mtoto wa darasa la nne anaona hiyo siyo kweli, ......Kuna data kutoka NBS, kuna census iliyofanyika mwaka jana, idadi kila mtu anajua, imenyambulisha kwa age group. Huhitaji dakika 10 kuona number zimekuwa inflated. Usitetee uovu ili ku-justify uongo. Hizo namba alizotoa kulinganisha na census na takwimu za NBS hazilingani, kuna ongezeko la watu/watoto ambao hawajatimiza umri wa kupiga kura zaidi kidogo ya Millioni 3........Hao wametoka wapi?????? Hata kama kuna assumption kuwa kila mtu ameandikishwa including me and my family and friends, kitu ambacho siyo kweli. Nenda na fact wewe.
Kweli Wanatudanganya
 
Huyo mwenyekiti ana haki ya kuitwa mjinga na mpuuzi. Wewe upewe nafasi na mmoja wa wagombea, halafu uaminike na wagombea wengine? Lazima uwe punguani kabisa, kuliamini hilo.

Tume ya uchaguzi, kuanzia uundwaji wake mpaka matendo yake na kanuni za kijinga kabisa walizozitengeneza, kamwe hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuwa na imani na hiyo tume ya kishetani. Hiyo tume ipo hapo kwaajili ya kukamilisha ushetani wa familia 3 adui wakubwa wa haki za watanganyika.
 
Back
Top Bottom