Kila mkutano wa Chadema na wageni mbali mbali namuona Mwenyekiti wa wazee bi Kiwanga, mwenyekiti wa vijana Mahinya, katibu mkuu, Heche na Golugwa.
Jee mwenyekiti wa BAWACHA bi Shariffa ametengwa rasmi?
Mbona haonekani katika ugeni mbali mbali unaokutana na uongozi wa CHADEMA?
Jee mwenyekiti wa BAWACHA bi Shariffa ametengwa rasmi?
Mbona haonekani katika ugeni mbali mbali unaokutana na uongozi wa CHADEMA?