simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
- Thread starter
- #61
Makamanda mliopo karibu na same njoni tujiunge pamoja
Wapendwa wana JF Habari za uhakika ni kwamba Kilio Cha Wananchi Wilaya ya Same kwa uongozi wa CHADEMA Taifa kimesikika na Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA Anatarajiwa kuanza Ziara yake ya Siku 4 Same. VUA Gamba Vaa Gwanda Kuanzia tar 10/05/2012. Mkutano wa ufunguzi wa Ziara hiyo utafunguliwa Standi kuu ya mabasi Same Alhamis tar 10 saa 7 mchana na Ratiba za ufunguz Rasmi wa ofisi za CHADEMA kata zote utaendelea kwa siku zote hizo. Karibuni wote Kadi na vifaa vingine vitakuwepo. Waandishi wahabari wote mnakaribishwa kurusha matukio ili Wa Tz waone jinsi wana nchi wa Same walivyo ichoka CCM na Wabunge wake. Mwisho Shukrani ziwafikie viongozi Wa CHADEMA TAIFA WOTE
Wapendwa wana JF Habari za uhakika ni kwamba Kilio Cha Wananchi Wilaya ya Same kwa uongozi wa CHADEMA Taifa kimesikika na Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA Anatarajiwa kuanza Ziara yake ya Siku 4 Same. VUA Gamba Vaa Gwanda Kuanzia tar 10/05/2012. Mkutano wa ufunguzi wa Ziara hiyo utafunguliwa Standi kuu ya mabasi Same Alhamis tar 10 saa 7 mchana na Ratiba za ufunguz Rasmi wa ofisi za CHADEMA kata zote utaendelea kwa siku zote hizo. Karibuni wote Kadi na vifaa vingine vitakuwepo. Waandishi wahabari wote mnakaribishwa kurusha matukio ili Wa Tz waone jinsi wana nchi wa Same walivyo ichoka CCM na Wabunge wake. Mwisho Shukrani ziwafikie viongozi Wa CHADEMA TAIFA WOTE
Njaa na umaskini tunavyo tangu Ccm iingie madarakani,hatutaanza leo!
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
Kwani kazi yao ni nini?kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
kumbukeni kufanya kazi, mikutano isiyoisha itawaletea njaa na umasikini. Kazi kwanza.
Nimeona kwenye FB page ya Heche.
Tafadhali msiishie hapo same mjini. pandeni na kule milimani kwenye vijiji vya bombo, mwembe, mtii, lugulu, mamba miyamba....mna kwingineko maana huko ndo kuna watu wanaohitaji elimu ya ukombozi.
Kilango na matayo wamewasqueeze sana akili zao hao wapare.
Kweli mkuu tungekuwa na BAWACHA iliyokamilika nayo ingefanya sehemu yake.Mh! Ukiona hadi kiongozi wa ka-jumuiya ndani ya chama cha siasa ziara zake zinakuwa na mwitikio mkubwa hadi huko vijijini kweli tumefika patamu. Hivi Beno na Shigela vipi?
Mungu akubariki Simon.Makamanda mliopo karibu na same njoni tujiunge pamoja
CHADEMA ipo everywhere...last week chadema walikuwa makambako na walishika vibaya, so kuwa specific nyanda za juu kusini wapi, ili timu tujipangeChadema inafanya kweli ... Lini mtageukia pande hizi za Nyanda za Juu Kusini .....