Mwenyekiti BAVICHA Taifa ndani ya Same

Mwenyekiti BAVICHA Taifa ndani ya Same

kwann HECHE tuuu...vijana wenye uwezo wako wengi,namjua vizuri HECHE uwezo wake katika kujenga hoja ni mdogo sana.. Nafkiri watu kama MAWAZO,MILLYA,HENRY KILEO wangesaidia sana..kama wangepewa nafasi.
Acha fitina wewe angekuwa hana uwezo wa kujenga hoja angekuwa mwenyekiti wa BAVICHA taifa? Chadema hatukurupuki kuchagua tu mtu! Uwezo anao!
 
kamanda heche chapa kazi tunajua mazingira yako ya kisiasa ni magumu sana lakini chapa kazi vijana tuone maana kuna watu hata ndani ya cdm huwa tunawakariri wakifurahi kuona viongozi wengine ukiwemo wewe hufanikiwi ila sisi vijana tuna imani sana na wewe
 
Anna Kilango kaa vizuri sasa, nataka kuingiza...................kuingiza M4C
 
Back
Top Bottom