TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Katika hali ya kusikitisha mwenyekiti wa BAVICHA mkoa wa Kinondoni na mhasibu msaidizi makao makuu CHADEMA ambaye alitambuliwa kwa jina la Hawa Mwaifunga amekamatwa na honda (nondo ya kutizamia) au desa kwa lugha ya chuo akiwandani ya chumba cha mtihani pale open university (kKnondoni) hali iliyompelekea kusimamishwa masomo kwa muda usiojulikana.
source: Notesboard ya open university (Kinondoni).
source: Notesboard ya open university (Kinondoni).