Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
Saaafi saaaaaana,nili mtweet january ili anipe ukweli wa suala la mwenyekiti huyo akaishia kurusha matusi,ngoja nimtafute tena!! Nimtaarifu
Kwani na yy cdmp c huwa wanasema wanaorusha matusi ni vijana wa cdm?....ccm bana