Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,500
Wakuu nilianza kupata changamoto ya hairline kurudi nyuma japo umri wangu ni miaka 28 nilijaribu kutumia mafuta mbalimbali but sikupata matokeo. Ni kwamba nywele zangu za mbele zimeanza kuondoka.
Baada ya kufeli nikaamua kutumia Minoxidil kirkland nakimbilia mwezi sasa but changamoto nayikutana nayo ni kwamba hisia zangu wakati wa tendo la ndoa zimekuwa chini sana kitu ambacho sikuwa nimekutana nacho before but sikuwa nmejudge sana nikajua ni mambo ya hisia tu.
Ila sasa leo katika pitaita zangu huko facebook kuna mtu alikuwa anatangaza bidhaa za minoxidil bac kuna mtu akacoment kwamba zilifanya akapoteza kabisa hisia wakati wa tendo la ndoa. Hapo ndipo namimi nikaanza kuunganisha na hali yangu nikaona maybe kuna ukweli.
Ndio sasa nikaamua kuleta hii mada huku nijue kama kuna mtu alishatumia Minoxidil akakutana na hiyo changamoto ya kupoteza hisia na kipi alikifanya ili kumuweka sawaa??
Baada ya kufeli nikaamua kutumia Minoxidil kirkland nakimbilia mwezi sasa but changamoto nayikutana nayo ni kwamba hisia zangu wakati wa tendo la ndoa zimekuwa chini sana kitu ambacho sikuwa nimekutana nacho before but sikuwa nmejudge sana nikajua ni mambo ya hisia tu.
Ila sasa leo katika pitaita zangu huko facebook kuna mtu alikuwa anatangaza bidhaa za minoxidil bac kuna mtu akacoment kwamba zilifanya akapoteza kabisa hisia wakati wa tendo la ndoa. Hapo ndipo namimi nikaanza kuunganisha na hali yangu nikaona maybe kuna ukweli.
Ndio sasa nikaamua kuleta hii mada huku nijue kama kuna mtu alishatumia Minoxidil akakutana na hiyo changamoto ya kupoteza hisia na kipi alikifanya ili kumuweka sawaa??