Mwenye uzoefu na eBay

Mwenye uzoefu na eBay

mzalendoMtz

New Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Wakuu nilinunua bidhaa from China via eBay lakini loooh Leo ni siku ya 20 bado havijafika na zingine kila nikijaribu kutrack naishia kuona pameandikwa " operation complete" na nyingine naambiwa " item(traking number) left Singapore to Tz, siku ya 4 leo.

Hhii kitu ni kweli au niliingia mkenge ? maana wachina ni mmm! jaman kama kuna aliyewahi kufanya purchase from China via eBay tupeane uzoefu/info kuhusu hii kitu.

Asanteni
 
Jaribu kuangalia kama muuzaji aliandika shipping worldwide ,maana wauzaji wengine hawaposti vitu nje kutokana na gharama,kama aliweka gharama za kuposti local akiposti nje itakuwa hasara kwake.Kingine contact the seller kama huridhiki unaweza kufungua kesi kudai hela zako
 
Wakuu nilinunua bidhaa from China via eBay lakini loooh Leo ni siku ya 20 bado havijafika na zingine kila nikijaribu kutrack naishia kuona pameandikwa " operation complete" na nyingine naambiwa " item(traking number) left Singapore to Tz, siku ya 4 leo.

Hhii kitu ni kweli au niliingia mkenge ? maana wachina ni mmm! jaman kama kuna aliyewahi kufanya purchase from China via eBay tupeane uzoefu/info kuhusu hii kitu.

Asanteni

Fanza kutulia japo kiduchu. Bidhaa yako ya kichina-china ipo njiani kupitia China Post.
 
hahahah asante sana mkuu.. seller ananiambia nikacheki kwenye local post mzigo huenda ushafika.. kuhusu kupost aliweka worldwide.
 
Back
Top Bottom