Karibu PM mkuuHabari zenu,
Kwa mtu mwenye uelewa wa jinsi ya kutengeneza video clip hasa zile za mpira (highlight sport) na kuupload YouTube bila kupata copyright claim naombeni msaada.
Asanteni
Nawez kuja na mm mkuuuUnaw
Karibu PM mkuu
Kiongozi hapa nafanya ili niikwepe hiyo audio copyrightCopyright zinadakwa na audio sio video most of the time. Wale jamaa hubadili audio ama kuitwist kiaina.
UnabadiliKiongozi hapa nafanya ili niikwepe hiyo audio copyright
Karibu MkuuNawez kuja na mm mkuuu