Kama hujawaona wakipasha viporo ujue wamekuzidi ujanja...Nimeshuhudia single mothers wengi wakiolewa na ndoa zao zinadumu lakini nashangaa wanaume wengi huwaponda kuwa huwa wanapasha kiporo na wazazi wenza.
Binafsi nimelifanyia uchunguzi nikaona halina ukweli wowote.
Mwenye ushahidi juu ya hili alete
Mara nying ukiwa na mahusiano na single maza kinachosababishaga usiwe na iman nae ni wasi wasi tu na wivu wa mapenzi,lakn kusema et anagongwa na mzaz mwenzie hlo halipo kabisa!! labda huyo dem awe chizFanya uchunguzi kwa kuishi nao,,, sio kwa kuangalia majirani wanaoishi nao..
Ukipata jibu leta mrejesho...
Mapenzi uFalla sana sometimes
Kwann masingle moms huwa wanakuwa dhaifu sana kwenye hili eneo ?penda mtoto wake tu yeye atafata kama mbuzi anavyofata mtoto
Siyo single mother tu, hata ambao hawajazaa na wakaenda kuzaa ndani ya ndoa zao, baadhi HUWA WANAPASHA VIPORO KWA MA-X WAONimeshuhudia single mothers wengi wakiolewa na ndoa zao zinadumu lakini nashangaa wanaume wengi huwaponda kuwa huwa wanapasha kiporo na wazazi wenza.
Binafsi nimelifanyia uchunguzi nikaona halina ukweli wowote.
Mwenye ushahidi juu ya hili alete
Kila mmoja ni mpashaji.. so long as ana ma-x, si kwa single mother pekeeKwa hyo msimamo wako ni upi mkuu??