kwani nini bana
Member
- Oct 13, 2012
- 25
- 4
Mwana jamvi yeyote mwenye updates kuhusu rulling ya rufaa ya Mh. Lema tafadhali atujuze.
Natanguliza shukrani.
Natanguliza shukrani.
Hukumu haojasomwa, wala bado haijapangiwa tarehe ya kusoma ingawa kuna tetesi kuwa huenda ikasomwa tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao
Ilikuwa isomwe leo, ila naona kama jaji mkuu hayupo, yuko USA
Kuna tetesi huenda akawa amekwenda Hong Kong kushughulikia kumaliza Kisheria issue ya "Mtoto wa Mkwewe".
Hukumu haojasomwa, wala bado haijapangiwa tarehe ya kusoma ingawa kuna tetesi kuwa huenda ikasomwa tarehe za mwishoni mwa mwezi ujao