mwenye ujuzi juu ya course ya NRM

mwenye ujuzi juu ya course ya NRM

Chimunu

Senior Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
159
Reaction score
25
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae anahitaji ku aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri asanteni
 
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae anahitaji ku aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri asanteni


Kuanzia chekechea hadi Advance hujawahi kuwa na ndoto za kuwa nani?

Kozi zingine mnaenda mwishowe mnatupa huduma mbovu sababu mmeambiwa.
 
Back
Top Bottom