Mwenye uelewa na Taxify anisaidie

1.Unajiregist Kwanza
2.Baada ya hapo unaanza kutumia huduma
Faida yake.
1.Wako faster Sana Kama unawahitaji sehemu yoyote na gharama zao Ni makubariano

Hasara
1.Kuna gharama za waiting charges.

Note.
Mimi natumia Sana hii huduma nimeondoka na malingo ya Tax za vijiweni Sasa maana yoyote ambaye Yuko online anakuja kukufuata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah asante sana ndugu
1.Unajiregist Kwanza
2.Baada ya hapo unaanza kutumia huduma
Faida yake.
1.Wako faster Sana Kama unawahitaji sehemu yoyote na gharama zao Ni makubariano

Hasara
1.Kuna gharama za waiting charges.

Note.
Mimi natumia Sana hii huduma nimeondoka na malingo ya Tax za vijiweni Sasa maana yoyote ambaye Yuko online anakuja kukufuata

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom